Mtengeti, usimkaripie. Historia hairekebishwi lakini hufundisha. Lakini pia usiwe na uhakika sana kwamba serikali mpya ijayo haitafuatilia yaliyopita hasa yenye maslahi ya taifa kama mikataba fake, ufisadi na wizi wa raslimali za taifa. Hawa tunawafahamu na tutadeal nao. Wote waliokwapua mali zetu kwa njia yoyote, zikaachwa nchini ama kupelekwa nje, tutazifuatilia. Wengine watakuwa marehemu, tutashughulika na warithi wao lengo raslimali za taifa zirudi, zifanye maendeleo ya nchi, lakini pia liwe somo kwa wanaodondosha mate wakitamani fursa za kufanya uhuni kama ule.
Kwa habari ya kifo cha Sokoine, Bwana Msuya na Kawawa ambaye ni marehemu kwa sasa, wlaikuwa kwenye system. Sidhani kama mtu akiwauliza uelewa wao juu ya jambo hilo la kifo cha Sokoine, kunakuwa na jinai yoyote.
Yeye ajibu tu anachokielewa, historia iandikwe vizuri au iwe updated. Pale atakwama, atasaidiwa.
Kwani yule mganga aliyekuwa anawaosha madawa usiku kwenye mavyungu pale kwa Msuya, ambayo yanasemekana yalimaanisha kuondoa maruwe ruwe aliyokuwa yakiwatokea baada ya kifo hicho alikufa? Kama hayupo bila shaka watoto wake bado wapo, wanaweza kusaidia pia katika uandishi wa historia hii katika kipindi hiki cha maendeleo ya sayansi.
Hallucinations zinaweza kuwa zilikuwa zikiwapata kwa labda walimpenda sana Marehemu na kuguswa sana na kifo chake kuliko wenzao. Na ukaribu huo ndio unaotamanisha watu wasikie lolote juu ya kifo hicho kutoka kwao.
Huna akili mtoa mada. Ulikuwa wapi tangu sokoine apate ajali mpaka leo ndo unakurupuka kisa mume wako kakosolewa kuwa anagawa rushwa? Unataka kutuaminisha kuwa huyo mume wako ikatokea ameshika madaraka itakuwa kazi yake ni kufufu maiti(visa vya zamani vilikufa)? Haya nenda basi kwa fred ukachukue ujira wako? Huna adabu kabisa