Msusi Hodari(Dada Wa Saloo) Anapatikana.

Jahlex

JF-Expert Member
Sep 23, 2013
512
604
Habari,
Kwa anayehitaji msusi wa nywele za mtindo wa aina zote na kufanya shughuli zote zinazohusiana na urembo na saloon tuwasiliane.
Msusi ni binti wa miaka 24,
anaishi Mabibo_ Dar Es Salaam,ni hodari sana ktk mambo ya saloon na urembo,
na cha zaidi ana uzoefu wa miaka 6 ktk kazi hiyo.
Kwa mwenye kuhitaji huduma yake tuwasiliane kwa:+255655185973 au nipm.
Aksante!
 
Back
Top Bottom