Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
mzee NCHIMANI alienda ulaya kwa mtoto wake. kwakuwa mtoto alijua baba ni mtu wa tungi hasa gongo akampeleka BAR kufika dingi akaanza kufakamia kinywaji.mara akaanza kuimba mwanae akamwambia {bhabha ukono bhatembaga} yaani baba huku huwa hawaimbi