ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,838
Uongozi Institute Kwa Kushirikiana na AFCFTA Secretariat Wameandaa Jukwaa la Uongozi yaani African Leades Forum ambalo litajadili Mambo ya Biashara Huria Africa na Miongoni Mwa Viongozi watakaochagiza Mazungumzo ni Jakaya Kikwete..
Wengine kwenye panel ni Rais wa Ghana na Katibu Mtendahi wa Secretariat ya Biashara Huru Africa..
Jukwaa hilo la Viongozi wa Africa kinafanyika Nchini Ghana na lotawakutanisha Viongozi kadhaa wa Africa Wastaafu na walioko Madarakani.
Wengine kwenye panel ni Rais wa Ghana na Katibu Mtendahi wa Secretariat ya Biashara Huru Africa..
Jukwaa hilo la Viongozi wa Africa kinafanyika Nchini Ghana na lotawakutanisha Viongozi kadhaa wa Africa Wastaafu na walioko Madarakani.