Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Rais Mstaafu, Dk @jmkikwete amemtembelea mwalimu wake, Raphael Semindu Simon aliyemfundisha darasa la kwanza katika shule ya Msingi Msoga, mwaka 1958. Dk Kikwete amesema kufanikiwa kwake kumetokanan a mchango adhimu wa Mwalimu Simon.
Nb: Jakaya kikwete amefanya jambo LA maana sana , jambo hili unaweza hata kufanya wewe mdau wa JF si mpaka usikie waliowahi kupitia maishani mwako amefariki ni vizuri mkatembeleana mkiwa hai
kuna la kujifunza hapa.
Nb: Jakaya kikwete amefanya jambo LA maana sana , jambo hili unaweza hata kufanya wewe mdau wa JF si mpaka usikie waliowahi kupitia maishani mwako amefariki ni vizuri mkatembeleana mkiwa hai
kuna la kujifunza hapa.