Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:
"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.
Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.
Mkuu Sikonge,
Wakati mwingine ukiandika hivi zingatia mbavu za wengine.nimecheka sana,loh!
Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:
"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.
Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.
7. Masanilo anarudia kula ..........tiGo
Nilikuwa sijacheka tokea Jmosi loooohhh wanakonde na samaki nchanga!
Sikonge, hiyo namba 3 na 7 ndizo zimeniacha hoi!Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:
"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.
Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.
my dia vyakula ndo vile vile alwaz uwe marekani,china tz etc ni mchele,maharage mahindi mtama,muhogo nyeger etc,tofauti ni mapishi tu na lugha inayotumika kuita hivyo vyakula mfano makande-tz,kenya gidheri etc so raisi anakula kama watu wengie sema tu mapishi hatulingani hasa ukizingatia yy ana ma specio pple wa kuandaa.pia utamu wa msosi unategemea na ulimi/mdogo wa mtu maana wengine hawajui vitam wala vichungu/kisuri au kibaya
my dia vyakula ndo vile vile alwaz uwe marekani,china tz etc ni mchele,maharage mahindi mtama,muhogo nyeger etc,tofauti ni mapishi tu na lugha inayotumika kuita hivyo vyakula mfano makande-tz,kenya gidheri etc so raisi anakula kama watu wengie sema tu mapishi hatulingani hasa ukizingatia yy ana ma specio pple wa kuandaa.pia utamu wa msosi unategemea na ulimi/mdogo wa mtu maana wengine hawajui vitam wala vichungu/kisuri au kibaya