Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Maeneo mengi ya jiji yana maduka,ukiangalia Mbagala,Tandika,Gongo la Mboto,kindoni,Mwenge,lakini kitu cha kushangaza,wakazi wa maeneo hayo yote,wanakimbilia kariakoo,kwa kusema bei ni rahisi.