Kuna sehemu ukipangiwa unalazimika kutoa rushwa ili uziepuke.Utakuta sehemu hakuna huduma za jamii,ushirikina kwa wingi na hata huo muamko wa elimu hamna.Ila kinachoniumiza utakuta maafsa wa elimu ndo wa kwanza kudai hiyo rushwa,pengine mwalimu anakua hana hilo wazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.