Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,261
Zimejitokeza shutuma nzito dhidi ya raia wa China akikomba maji mto Ruvu na kutupigia hesabu ya lita elfu elfu! Huyo mkulima ambaye ni mmoja wapo wa wakulima na wafugaji wanaokomba maji mto Ruvu.
Tatizo lililopo si hawa watumiaji bali ni serikali kutokuwa na mpango wa maana unaoonesha uwezo wa wahusika kielimu.
Mimi binafsi sina elimu ya maji lakini nimekuwa mara nyingi nikiandika kuwa bila bwawa tatizo la maji halitaisha. Hayo maji yasingetumiwa na huyo mchina* ni wazi yangeishia baharini, lskini tatizo la maji Dar lipo tangu miaka ya sitini na miaka ya sabini tulishuhudia tukiletewa tope na visingizio kibao!
Tatizo lililopo si hawa watumiaji bali ni serikali kutokuwa na mpango wa maana unaoonesha uwezo wa wahusika kielimu.
Mimi binafsi sina elimu ya maji lakini nimekuwa mara nyingi nikiandika kuwa bila bwawa tatizo la maji halitaisha. Hayo maji yasingetumiwa na huyo mchina* ni wazi yangeishia baharini, lskini tatizo la maji Dar lipo tangu miaka ya sitini na miaka ya sabini tulishuhudia tukiletewa tope na visingizio kibao!