Msishangae kusikia waheshimiwa wameongezewa mishahara na marupurupu wakati wowote

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,324
152,136
Mimi sina imani kabisa na waheshimiwa wa chama fulani na mara nyingi mkiona wamecharuka basi mjue tatizo linaweza kuwa ni maslahi japo hawatamki hadharani kuwa tatizo ni ukata.

Juzi juzi wote tumesoma kwenye vyombo vya habari waheshimiwa wakilia hali ngumu kutokana na serikali kutopeleka fedha zaidi ya shilingi bilioni 8 kiasi kwamba walikuwa wanapiga deshi,kuhama kutoka kwenye mahoteli na kuamia guest house,n.k.

Yote mnayoyasikia sasa bila shaka yanachochewa na mambo kadhaa likiwemo hili la ukata na pengine na swala la bwana Bashite.

Kwa mtazamo wangu,mpaka hivi sasa bwana mkubwa atakuwa ameshajua au ameshatonywa kuwa tatizo kubwa hapa ni nini na ili kukata mzizi wa fitini basi ameshaambiwa nini cha kufanya hivyo nae atajiongeza kwa kuwapa wanachokitaka ili nae awe salama hata kama hapendi.

Nawaambieni waheshimiwa hawa wakipozwa tu kwa kuongezwa mishahara na marupurupu hata kwa kupewa ahadi tu watatulia kama maji ya mtungi na wakiibuka tena mjue basi ahadi haijatimizwa.

Nina imani na wale wachache lakini sio hawa wengi.Katika wale wengi nina imani na mmoja tu mpaka sasa.

Waheshimiwa hawa wanaweza wakaungana kwenye swala la Bashite tu lakini sio kwenye maswala mengine ya kitaifa.
 
Kwa hiyo hata bashe na list yake majina 11 ni tumbo!

Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
mbona povuuu mkuu?.
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
Poor argument na uongo uliyopitiliza kwa kiwango cha lami.
 
Mimi sina imani kabisa na waheshimiwa wa chama fulani na mara nyingi mkiona wamecharuka basi mjue tatizo linaweza kuwa ni maslahi japo hawatamki hadharani kuwa tatizo ni ukata.

Juzi juzi wote tumesoma kwenye vyombo vya habari waheshimiwa wakilia hali ngumu kutokana na serikali kutopeleka fedha zaidi ya shilingi bilioni 8 kiasi kwamba walikuwa wanapiga deshi,kuhama kutoka kwenye mahoteli na kuamia guest house,n.k.

Yote mnayoyasikia sasa bila shaka yanachochewa na mambo kadhaa likiwemo hili la ukata na pengine na swala la bwana Bashite.

Kwa mtazamo wangu,mpaka hivi sasa bwana mkubwa atakuwa ameshajua au ameshatonywa kuwa tatizo kubwa hapa ni nini na ili kukata mzizi wa fitini basi ameshaambiwa nini cha kufanya hivyo nae atajiongeza kwa kuwapa wanachokitaka ili nae awe salama hata kama hapendi.

Nawaambieni waheshimiwa hawa wakipozwa tu kwa kuongezwa mishahara na marupurupu hata kwa kupewa ahadi tu watatulia kama maji ya mtungi na wakiibuka tena mjue basi ahadi haijatimizwa.

Nina imani na wale wachache lakini sio hawa wengi.Katika wale wengi nina imani na mmoja tu mpaka sasa.

Waheshimiwa hawa wanaweza wakaungana kwenye swala la Bashite tu lakini sio kwenye maswala mengine ya kitaifa.

"The Hungry Man is the Angry Man"
Quoted

Kiwango cha njaa kinaamua kiwango cha hasira na ukali wao.
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
Bado mna hizo siasa maji taka mpaka kipindi hiki!!!???
 
Mimi sina imani kabisa na waheshimiwa wa chama fulani na mara nyingi mkiona wamecharuka basi mjue tatizo linaweza kuwa ni maslahi japo hawatamki hadharani kuwa tatizo ni ukata.

Juzi juzi wote tumesoma kwenye vyombo vya habari waheshimiwa wakilia hali ngumu kutokana na serikali kutopeleka fedha zaidi ya shilingi bilioni 8 kiasi kwamba walikuwa wanapiga deshi,kuhama kutoka kwenye mahoteli na kuamia guest house,n.k.

Yote mnayoyasikia sasa bila shaka yanachochewa na mambo kadhaa likiwemo hili la ukata na pengine na swala la bwana Bashite.

Kwa mtazamo wangu,mpaka hivi sasa bwana mkubwa atakuwa ameshajua au ameshatonywa kuwa tatizo kubwa hapa ni nini na ili kukata mzizi wa fitini basi ameshaambiwa nini cha kufanya hivyo nae atajiongeza kwa kuwapa wanachokitaka ili nae awe salama hata kama hapendi.

Nawaambieni waheshimiwa hawa wakipozwa tu kwa kuongezwa mishahara na marupurupu hata kwa kupewa ahadi tu watatulia kama maji ya mtungi na wakiibuka tena mjue basi ahadi haijatimizwa.

Nina imani na wale wachache lakini sio hawa wengi.Katika wale wengi nina imani na mmoja tu mpaka sasa.

Waheshimiwa hawa wanaweza wakaungana kwenye swala la Bashite tu lakini sio kwenye maswala mengine ya kitaifa.
Huwa siwaamini wabunge wa CCM kwani mara nyingi wamekuwa ndo chanzo cha taifa kuwa katika hali mbaya sababu ya ujinga wa baadhi yao, nawachukia sana wabunge hawa baadhi hajui wanataka nini wala wafanye nini nampongeza makonda kwa kwa kile alocho sema dhidi yao,
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
Siasa za hivyo zilisha pita mda wake wewe kilazaa
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
Dah wewe itakuwa ndiye mkimbizi..povuu limekutoka mkuu..tulia alfu jamba kidgo sikilizia arufu yake nazani akili yako itachangamka..Naona unapenda sanaa unafiki na kujipendekeza...hizi tabia sijui vijana wa ccm walizitoa wapi...
 
Bashe ndio Mkimbizi ghali zaid Duniani. analipwa 13 Million kwa Mwezi Pamoja na Mkopo wa Shangingi ,Posho ya laki tatu kwa Siku akiwa Bungeni na Serikali lakin bado anathubutu kusema anaonewa

Wahenga walisema 'Mfadhili Mbuzi Binadamu Hana shukrani'

Hata Ulaya Hakuna Taifa linaloweza kulipa Mkimbizi Fedha nying Hivi halafu likavumilia Uchochezi na Fitna za kiwango kile!
Lijamaa lishalewa uraia ..
 
Mimi sina imani kabisa na waheshimiwa wa chama fulani na mara nyingi mkiona wamecharuka basi mjue tatizo linaweza kuwa ni maslahi japo hawatamki hadharani kuwa tatizo ni ukata.

Juzi juzi wote tumesoma kwenye vyombo vya habari waheshimiwa wakilia hali ngumu kutokana na serikali kutopeleka fedha zaidi ya shilingi bilioni 8 kiasi kwamba walikuwa wanapiga deshi,kuhama kutoka kwenye mahoteli na kuamia guest house,n.k.

Yote mnayoyasikia sasa bila shaka yanachochewa na mambo kadhaa likiwemo hili la ukata na pengine na swala la bwana Bashite.

Kwa mtazamo wangu,mpaka hivi sasa bwana mkubwa atakuwa ameshajua au ameshatonywa kuwa tatizo kubwa hapa ni nini na ili kukata mzizi wa fitini basi ameshaambiwa nini cha kufanya hivyo nae atajiongeza kwa kuwapa wanachokitaka ili nae awe salama hata kama hapendi.

Nawaambieni waheshimiwa hawa wakipozwa tu kwa kuongezwa mishahara na marupurupu hata kwa kupewa ahadi tu watatulia kama maji ya mtungi na wakiibuka tena mjue basi ahadi haijatimizwa.

Nina imani na wale wachache lakini sio hawa wengi.Katika wale wengi nina imani na mmoja tu mpaka sasa.

Waheshimiwa hawa wanaweza wakaungana kwenye swala la Bashite tu lakini sio kwenye maswala mengine ya kitaifa.
Hilo ndilo tatizo kubwa tuna wabunge wachumia tumbo na wala si eti kwa maslahi ya Wananchi! Mbaya zaidi hata Wapinzani hawajitofautishi! Tunawaona na 2020 Mtatuelewa as wengi wanamuelewa Rais na wanamuelewa anataka Wabunge wa aina gani ili waendeane na kasi yake na si kumkwamisha!
 
Back
Top Bottom