Msisahau wazazi wenu?

Msisahau wazazi wenu?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
685
Reaction score
1,363
Atakama hakukusomesha,ila kama angekutelekeza haungefika hapo ulipofika.mzazi wako ni wa maana pambana umtunze asiteseke ukiwepo.

Mimi bora nilale njaa ila wazazi wangu hawawezi teseka nikiwepo.kama wangenitelekeza nikiwako mdogo ungekuta siipo.

Namin mzazi akitamka neno n baraka katika maisha.

Nawapenda sana wazazi wazazi wang na taifa langu Tanzania na chama changu pendwa CCM.
 
Na vipi kama asingekuzaa si angekua kakupunguzia mzigo.
Wazazi wanapozaa watoto wajue na kuwatunza sio kuletana duniani na kutesa wengine kwa starehe zao…!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom