Nakuchukia sana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 685
- 1,363
Atakama hakukusomesha,ila kama angekutelekeza haungefika hapo ulipofika.mzazi wako ni wa maana pambana umtunze asiteseke ukiwepo.
Mimi bora nilale njaa ila wazazi wangu hawawezi teseka nikiwepo.kama wangenitelekeza nikiwako mdogo ungekuta siipo.
Namin mzazi akitamka neno n baraka katika maisha.
Nawapenda sana wazazi wazazi wang na taifa langu Tanzania na chama changu pendwa CCM.
Mimi bora nilale njaa ila wazazi wangu hawawezi teseka nikiwepo.kama wangenitelekeza nikiwako mdogo ungekuta siipo.
Namin mzazi akitamka neno n baraka katika maisha.
Nawapenda sana wazazi wazazi wang na taifa langu Tanzania na chama changu pendwa CCM.