Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,342
- 2,195
Wewe umetubu? Maana kale kamchezo kako unakofanyiwa obvious unastahili kutubu piaJamaa ame tubu?
Don't forget 26 April
$wissme
Wewe umetubu? Maana kale kamchezo kako unakofanyiwa obvious unastahili kutubu piaJamaa ame tubu?
Don't forget 26 April
$wissme
Hata wakiandamana watanzania wa Diaspora dunia nzima....ninauhakika kwa nchini Tanzania hilo halitakuwepo na yoyote atakayejifanya mwamba akapeleka mguu wake barabarani yatakayomkuta huko asije akasema hakuambiwa kama atarudi mzima kwa familia yake.Mbweha tunaandamana![]()
Baada ya kuandamana Kuna Mgao wa Pesa au ? Ili niache shughuli zangu niandamanaeKuna uzi humu unaosema "Wanaotaka kuandamana someni hapa"
Huu nao ni kinyume chake.
Mods hatutaki double standards.![]()
Unashuguli gani muhimu wwkati unaishi kwa shemeji yako. Siku dada ako akimkatikia vizuri ndyo anakupa pesa ya Bando unakuja kutusumbua humu ndani.Baada ya kuandamana Kuna Mgao wa Pesa au ? Ili niache shughuli zangu niandamanae
Mbona watu wameshajuta sana?waulize hawa,familia za mawazo alfons,tundu lisu,daniel john,saa8,nkTujifunze kutumia akili kidogo. Siyo kila misemo inaendana na nyakati zilizopo au tulizonazo. Hata misemo mingi ya Wahenga wetu ukiifuatilia kwa makini 90% yake kwa sasa haina tena nafasi katika Jamii yetu. Bado nazidi kusisitiza kwamba msijidanganye kutaka kufanya hilo mnalolipanga kulifanya kwa msaada wa hamasa ya Dada yenu wa Ughaibuni kwani mnaweza mkaja Kujuta na Kujilaumu sana.
Yangu ni hayo tu na Kila la kheri!
Unashuguli gani muhimu wwkati unaishi kwa shemeji yako. Siku dada ako akimkatikia vizuri ndyo anakupa pesa ya Bando unakuja kutusumbua humu ndani.
afadharii hiyo siyo kusubiri amri ya huyo kiumbe MANGE nanilipa nini huyo mpaka niandamane
nipo kwa Shem nakula ugali wake

Utafuatwa hukohuko maana yanakata kona usishangae hamadi hilo nahujaandamana hapo sijui au utaliokota?!!Sawa. Wewe si jike.