Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Kuna uzi humu unaosema "Wanaotaka kuandamana someni hapa"
Huu nao ni kinyume chake.
Mods hatutaki double standards.
Huu nao ni kinyume chake.
Mods hatutaki double standards.
Alafu sikuhizi wanazipoteza kwa kasi.Itakuwa hizi nukuu za Baba wa Taifa hawa vioñgozi wetu hawazielewi ama haziwahusu...
Tuliyo nayo ni CCM B. Siyo ile ya Nyerere au Kawawa au Kingunge. Hii ni ccm vunja vunja sio ile CCM jenga taifaItakuwa hizi nukuu za Baba wa Taifa hawa vioñgozi wetu hawazielewi ama haziwahusu...
Kuna uzi humu unaosema "Wanaotaka kuandamana someni hapa"
Huu nao ni kinyume chake.
Mods hatutaki double standards.![]()
Pingana na hoja na si mwanzilishi wa hoja.Tujifunze kutumia akili kidogo. Siyo kila misemo inaendana na nyakati zilizopo au tulizonazo. Hata misemo mingi ya Wahenga wetu ukiifuatilia kwa makini 90% yake kwa sasa haina tena nafasi katika Jamii yetu. Bado nazidi kusisitiza kwamba msijidanganye kutaka kufanya hilo mnalolipanga kulifanya kwa msaada wa hamasa ya Dada yenu wa Ughaibuni kwani mnaweza mkaja Kujuta na Kujilaumu sana.
Yangu ni hayo tu na Kila la kheri!
analazimisha tumuombe tuna tii kwa kuwa tunamuogopa,kwa kuwa tu wanafiki tunamuombea na kujipendekeza eti tuna muunga mkono.Tunasubiri mauti yetu ya kiuchumi TZ ya viwanda
Sawa. Wewe si jike.Kama dume andamana nimwendo wa machozi na pyupyu mpaka mnyoke
Haki si ya watu kadhaa katika jamii.Tujifunze kutumia akili kidogo. Siyo kila misemo inaendana na nyakati zilizopo au tulizonazo. Hata misemo mingi ya Wahenga wetu ukiifuatilia kwa makini 90% yake kwa sasa haina tena nafasi katika Jamii yetu. Bado nazidi kusisitiza kwamba msijidanganye kutaka kufanya hilo mnalolipanga kulifanya kwa msaada wa hamasa ya Dada yenu wa Ughaibuni kwani mnaweza mkaja Kujuta na Kujilaumu sana.
Yangu ni hayo tu na Kila la kheri!
Usiongee saana we andamana bweha weeSawa. Wewe si jike.
Mkuu acha kujifanya pafekt sana,Tujifunze kutumia akili kidogo. Siyo kila misemo inaendana na nyakati zilizopo au tulizonazo. Hata misemo mingi ya Wahenga wetu ukiifuatilia kwa makini 90% yake kwa sasa haina tena nafasi katika Jamii yetu. Bado nazidi kusisitiza kwamba msijidanganye kutaka kufanya hilo mnalolipanga kulifanya kwa msaada wa hamasa ya Dada yenu wa Ughaibuni kwani mnaweza mkaja Kujuta na Kujilaumu sana.
Yangu ni hayo tu na Kila la kheri!
Mkuu acha kujifanya pafekt sana,
Mbweha tunaandamanaUsiongee saana we andamana bweha wee
Jamaa ame tubu?
Don't forget 26 April
$wissme