Msioijua, hii ndiyo CHADEMA

Msioijua, hii ndiyo CHADEMA

Mwaka 2015 kuna kiongozi mmoja wa CHADEMA ngazi ya Jimbo alikwenda kwenye Kijiji fulani ndani ya Jimbo lake na kukuta uongozi wa Kijiji hicho ni CHADEMA. Akashangaa Sana.

Alipouliza imekuwaje viongozi wa Kijiji kile kuwa wa CHADEMA, akaambiwa ni wananchi wenyewe waliamua wawe CHADEMA na kupambana kuweka viongozi wa Kijiji toka CHADEMA.

Viongozi wa CHADEMA huwa wanashangazwa na jinsi wananchi wa kawaida kabisa wanavyoijenga CHADEMA.

CHADEMA ni watu wa kawaida kabisa wenye uzalendo kwa nchi yao. Imani yao Iko Kwa CHADEMA na siyo kwa watu wanaoiongoza CHADEMA pekee.

Ndiyo maana hakuna mtu atatoka CHADEMA halafu CHADEMA isiwe CHADEMA.
ujinga huu ndio mmeuingiza sasa hivi

chadema ilijengwa kwa marketing,kujitolea,kuisemea,etc huko kwa ground

eti leo unakuja kutudanganya eti wananchi wenyewe wamejipendekeza wenyewe eti hivi hivi

kwanza story ni ya uongo,pili ilijengwa kwa nguvu kipindi hicho,imani imeshuka kiasi fulani sasa,na nyie mnajikalisha ofisini mnategemea wananchi wajitume wenyewe

kuna zito anawazoa wote,kuna chaumma nae anaenda chini kujenga wanachama..mwisho wa siku wote wanahamia penye mipango

kaeni na makengeza yenu mnategemea wananchi wajitume wenyewe wakati kuna wanaojitangaza kwa nguvu zote

hii post ni muendelezo wa chadema kubweteka,mwisho wa siku you will find out!
 
Mwaka 2015 kuna kiongozi mmoja wa CHADEMA ngazi ya Jimbo alikwenda kwenye Kijiji fulani ndani ya Jimbo lake na kukuta uongozi wa Kijiji hicho ni CHADEMA. Akashangaa Sana.

Alipouliza imekuwaje viongozi wa Kijiji kile kuwa wa CHADEMA, akaambiwa ni wananchi wenyewe waliamua wawe CHADEMA na kupambana kuweka viongozi wa Kijiji toka CHADEMA.

Viongozi wa CHADEMA huwa wanashangazwa na jinsi wananchi wa kawaida kabisa wanavyoijenga CHADEMA.

CHADEMA ni watu wa kawaida kabisa wenye uzalendo kwa nchi yao. Imani yao Iko Kwa CHADEMA na siyo kwa watu wanaoiongoza CHADEMA pekee.

Ndiyo maana hakuna mtu atatoka CHADEMA halafu CHADEMA isiwe CHADEMA.
Hakika
 
Back
Top Bottom