Ni malaya na mchumia tumbo wa kawaida ambaye anaweza kufanya au kufanyiwa lolote ili tonge liingie mdomoni. Ila litakufa mapema kwa namna linavyotumika. Angalia lilivyofutuka kama kifutu. Senzi kabisa.Balile ni kijana wa Rostam anatumiwa na Wanamtandao mpuuzeni mfutilie Istoria yake ametokea wapi ameshafanya kazi kwenye kampuni ya Rostam na Chanel ten huyo ni kijana wa wana mtandao
Ahamishe kabisa familia yake maana tunamshughulikia kweliBalile ni kijana wa Rostam anatumiwa na Wanamtandao mpuuzeni mfutilie Istoria yake ametokea wapi ameshafanya kazi kwenye kampuni ya Rostam na Chanel ten huyo ni kijana wa wana mtandao
Huyo Balile uliwahi kuona anaekemea utekaji hata siku moja au familia ya mzee kibao yule akua binadamu Balile ni mpumbavu mmoja tu anaetumikia wanamtandao na maslahi yao na yakeKwamba tusimsikilize sababu anaongea / ameongea pumba au sababu ni mwanamtandao kila asimacho ni pumba ?
Hii tabia ndio inatufanya tumeze kila asemacho so called mtu wetu na kupuuza kila kinachosemwa na so called mtu wao, mwisho wa siku vidagaa mnamalizana na mapapa yanapeta....
Kwahio kila mtu akitoa point hapa mfano wewe niende kwenye file lako na kuangalia ni mara ngapi umekemea utekaji na kumtetea Kibao ?Huyo Balile uliwahi kuona anaekemea utekaji hata siku moja au familia ya mzee kibao yule akua binadamu Balile ni mpumbavu mmoja tu anaetumikia wanamtandao na maslahi yao na yake
Shemeji Tate, nipo sana tuuHivi huyu Shemeji yangu Pascal Mayalla yuko wapi! Au Wahuni wamemfungia sehemu na kumuwekea buyu la asali alambe mpaka ipite siku ya ukombozi Oktoba 29? Au hana VPN!