Msinitag, mimi siyo tena mshabiki wa Simba

Msinitag, mimi siyo tena mshabiki wa Simba

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Naona watu wanafukunyua nyuzi na post zangu za nyuma na kunitag ili kunizodoa. Napenda kuwajulisha kuwa mimi siyo tena mshabiki wa Simba. Nimechukua likizo isiyo na muda maalumu katika mpira wa bongo.

Pale nafsi yangu itakapokubali kurudi kufuatilia mpira wa Tanzania nitafanya hivyo ila nimeona kwanza nipumzike.

Asanteni na kila la kheri.
 
Naona watu wanafukunyua nyuzi na post zangu za nyuma na kunitag ili kunizodoa. Napenda kuwajulisha kuwa mimi siyo tena mshabiki wa Simba. Nimechukua likizo isiyo na muda maalumu katika mpira wa bongo.

Pale nafsi yangu itakapokubali kurudi kufuatilia mpira wa Tanzania nitafanya hivyo ila nimeona kwanza nipumzike.

Asanteni na kila la kheri.
Mpira wa tz Uzus hi
 
Mashabiki wa simba hamuishiwi vituko. Kuna mwenzako naye aliaga kabisa kuachana na hili jukwaa la michezo baada tu ya timu yenu kufungwa na Yanga kwa mara ya 5 mfululizo! Ila cha kushangaza ninamuona tena akichangia mada za kuhusu usajili wa timu hiyo hiyo ya simba.
 
Pale nafsi yangu itakapokubali kurudi kufuatilia mpira wa Tanzania nitafanya hivyo ila nimeona kwanza nipumzike
We sema tu unasubiria Simba ikianza kufanya vizuri utarejea kuishabikia.

Yanini uzungukezunguke.

Makolo sasa hivi mmekata tamaa kabisa.

Hamjui hata mfanye nini au mshike wapi ili mtoboe.

Mmebaki kutupiana lawama zisizo na maana tu.

Mara Mangngu out,mara try again ni chawa wa MO mara Muhamedi Ally sio simba ni yanga damu basi tu ilimradi mmeandika ili siku ipite huku moyoni mkiumia kuliko kawaida.

Poleni sana ndio mpira huo.
 
Naona watu wanafukunyua nyuzi na post zangu za nyuma na kunitag ili kunizodoa. Napenda kuwajulisha kuwa mimi siyo tena mshabiki wa Simba. Nimechukua likizo isiyo na muda maalumu katika mpira wa bongo.

Pale nafsi yangu itakapokubali kurudi kufuatilia mpira wa Tanzania nitafanya hivyo ila nimeona kwanza nipumzike.

Asanteni na kila la kheri.
Viongozi wa Simba SC wako kwenye 'pre-season leadership'
 
SportsXtra | @luambano77

“Msimu uliopita Simba ilifeli lawama akapewa mwenyekiti Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi Tyragain , mwisho wa siku Tryagain akajiuzulu”

“Msimu huu Simba imefeli Mwenyekiti ni Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi ni Mo lakini analaumiwa Mangungu peke yake kwa nini Mo alaumiwi ?”
 
Naona watu wanafukunyua nyuzi na post zangu za nyuma na kunitag ili kunizodoa. Napenda kuwajulisha kuwa mimi siyo tena mshabiki wa Simba. Nimechukua likizo isiyo na muda maalumu katika mpira wa bongo.

Pale nafsi yangu itakapokubali kurudi kufuatilia mpira wa Tanzania nitafanya hivyo ila nimeona kwanza nipumzike.

Asanteni na kila la kheri.
GENTAMYCINE nasikia anasindiloa sungura lakini dozi haimuingii, hataki ayaone wala kuyasikia yanayoendelea Simba
 
SportsXtra | @luambano77

“Msimu uliopita Simba ilifeli lawama akapewa mwenyekiti Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi Tyragain , mwisho wa siku Tryagain akajiuzulu”

“Msimu huu Simba imefeli Mwenyekiti ni Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi ni Mo lakini analaumiwa Mangungu peke yake kwa nini Mo alaumiwi ?”
Wao wanasema wamefanikiwa kufika top 5 Africa
 
Mashabiki wa simba hamuishiwi vituko. Kuna mwenzako naye aliaga kabisa kuachana na hili jukwaa la michezo baada tu ya timu yenu kufungwa na Yanga kwa mara ya 5 mfululizo! Ila cha kushangaza ninamuona tena akichangia mada za kuhusu usajili wa timu hiyo hiyo ya simba.
Hawa watu wamechanganyikiwa mkuu
 
GENTAMYCINE nasikia anasindiloa sungura lakini dozi haimuingii, hataki ayaone wala kuyasikia yanayoendelea Simba
Kuna Watu huwa mnalazimisha sana KUFUKULIWA UVUNGU nami hasa baada ya kusikia kuwa huwa NAWAFUKUA UVUNGU vizuri sana Wapumbavu wenzenu Wengine na ndiyo maana Kutwa tu huwa MNAJIPENDEKEZA KUNAKOTUKUKA Kwangu MFUKUA UVUNGU MWANDAMIZI hapa Jamvini.
 
Kuna Watu huwa mnalazimisha sana KUFUKULIWA UVUNGU nami hasa baada ya kusikia kuwa huwa NAWAFUKUA UVUNGU vizuri sana Wapumbavu wenzenu Wengine na ndiyo maana Kutwa tu huwa MNAJIPENDEKEZA KUNAKOTUKUKA Kwangu MFUKUA UVUNGU MWANDAMIZI hapa Jamvini.
Twende ukafukue uvungu wa Mzanaki mwenzako
 
Mashabiki wa simba hamuishiwi vituko. Kuna mwenzako naye aliaga kabisa kuachana na hili jukwaa la michezo baada tu ya timu yenu kufungwa na Yanga kwa mara ya 5 mfululizo! Ila cha kushangaza ninamuona tena akichangia mada za kuhusu usajili wa timu hiyo hiyo ya simba.
Si umtaje?? Kwani inawauma nini..
 
Unaweza ukaamua tuu kunyamaza sio lazima uutangazie umma kuwa ww sio mshabiki wa Simba huko ni kufurukuta...shabiki wa kweli haachi timu yake...anaweza akanyamaza kupisha upepo fulani upite lakini kwny moyo na damu ni mshabiki kufa...
Simba damu mpaka kufa
Simba nguvu moja..
 
Back
Top Bottom