PostGE2025 Msingwa kuhusu 9 Disemba: Tunawasihi vijana wasifate mkumbo, tumejipanga kuhakikisha usalama unaimarishwa

PostGE2025 Msingwa kuhusu 9 Disemba: Tunawasihi vijana wasifate mkumbo, tumejipanga kuhakikisha usalama unaimarishwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Msigwa ameulizwa kuhusu response ya serikali kuhusu maandamano yanayopamgwa kufanyika Disemba 9, ambapo amesema:

"Kuhusu maandamano ya Tisa Disemba, tunawasihi vijana wajiepushe na kufuata mkumbo kwa kujihusisha na vitendo vya kuharibu amani.

"Tumejipamga kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaimarishwa!"

Kiufupi ni kuwa serikali haina mpango wa kuwajibika wala nini, yaani kama mbwai na iwe mbwai!

Kwa hali hii 9 Disemba patawaka moto.

 
Huyo mwandishi wa mwisho, kamkaanga, sura imempoa ghafla .


Kuhusu Dec 9, ajiandaez Maandamano yako palepale.
 
Kwahiyo vijana wasiandamane kwasasabu kutakuwa na usalama na amani sana? Au sijaelewa….
 
Tarehe 9 tunarudi barabarani, serekali inahaha maana inajua haina uhalali wa umma. Ajiandae kuishi bila ajira.
 
Hawa ni bora kumalizana nao sasa sio kesho..ccm hawatatoka kwa njia nyingine yeyote zaidi ya hii kuanzia 9D tulipe hiyo gharama sasa, be it vifo au vyovyote lkn si kesho..gharama ya kuwaacha waendelee kutawala ni kubwa zaidi ya hiyo ya kuwatoa sasa!
 
Kuhusu maandamano ya Tisa Disemba, tunawasihi vijana wajiepushe na kufuata mkumbo kwa kujihusisha na vitendo vya kuharibu amani.

20251118_180307.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom