Msimu huu Tanzania haitakuwa na timu yoyote ligi ya mabingwa na shirikisho

Eti wamesajili kikosi cha kuchukua ubingwa wa Afrika!! Kuna watu wana utani sana.
 
Ushabiki pembeni:
Simba anaingia makundi, afe kipa afe beki. Jamaa wanajua kupigania nembo ya timu wale.
 
Back
Top Bottom