Msimu huu Simba imeipa pressure kubwa ya kifedha Yanga

Msimu huu Simba imeipa pressure kubwa ya kifedha Yanga

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Moja ya jambo ambalo wengi hamjashtuka lililofanywa na Simba kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita waliposaini mkataba na JayRutty hadi usajili wa sasa wa wachezaji wa Mamelodi, ni kuipa pressure ya kifedha Yanga.

Hizi timu mbili zinapenda sana kuigana. Kuna wakati hadi nakereka jinsi wanavyopenda kufuatana fuatana. Mmoja akifanya jambo linaloonekana bora, mwingine hataki muda mwingi upite asije akaonekana hakufanya jambo fulani. Kwa miaka mingi Yanga imekuwa inazodolewa kwa kuwa nyuma katika mambo mengi mpaka yafanywe na Simba. Siku hizi, Yanga wanahakikisha hata kama watachelewa kufanya jambo fulani lililoanzishwa na Simba, ila watahakikisha nao wanalifanya msimu huo huo ndani ya muda mfupi.

Mkataba wa JayRutty uliorodhesha mambo mengi ambayo kwa timu hizi mbili hayajawahi kufanywa. Hapa nitaorodhesha matatu.
1. Mkataba rasmi wa jezi na brand ya kimataifa (Diadora)
2. Basi la kisasa la Irizar
3. Uwanja

Nilivyosikia tu haya mambo yanapangwa nikasema Yanga wataenda kujipanga ili Simba ikianza tu kuyafanya, nao wajitutumue wafanya bila kuchelewa.

Kwenye jezi, inasemekana Yanga imeenda kufanya janja janja na wanakaribia kutangaza mkataba wa jezi na Adidas kupitia kwa GSM. Ikumbukwe Sheria Ngowi aliwahi kusema tayari ana design za jezi za Yanga za misimu kadhaa mbele zipo tayari, ila baada ya Diadora kutangazwa, wakaachana na Sheria. Wameingiwa na pressure.

Kwa wachezaji wa kutoka timu kubwa kama Mamelodi naona hilo limewashinda ila ngoja tusubiri, wanaweza nako wakajitutumua wakamshusha Mokoena.

Hii pressure ya kifedha Yanga wataiweza? Wataweza nao kuleta Irizar msimu huu ili wasionekane wamechelewa? Wataweza nao kuanza ujenzi wa uwanja wao ili wasipitwe na Simba au watatumia wanasiasa na watendaji ili wakwamishe mipango ya Simba?
 
Simba miaka yote ndio wanao tangaza kuingia mikataba ya fedha nyingi ila matumizi ya fedha izo hayaeleweki, ikifika wakati wa usajili Bado wanakwenda kupiga magoti kwa MO.

MO anawakopesha fedha na akiwaeleza deni limeshafika Billion 87 mashabiki Wana nuna.
Maana yake mikataba ya Simba mingi ni kutafuta kiki kwa kuongeza sifuri maana zinapotaka kutumika fedha izo hazionekani😃😃

Kuhusu Jay root uo ndio mkataba wa ki mangungo ambao haujawahi kutokea.
Ni swala la muda tu, Kiki zote zitagoma.
Ata uyo Bakresa na fedha zake, hawezi kuingia mkataba wa kipuuzi kama uo kwa kutegemea faida ya kits za club.
Safari hii mbumbumbu mmepatikana
 
2023/2024 Yanga ilifika Robo

2024/2025 Yanga imeishia Makundi

2025/2026 Yanga unaiona Wapi?

Huu ni mwenendo wa graph ya kushuka.!

Huko upande wa pili..

2023/2024 SSC ilifika Robo

2024/2025 SSC imefika Fainali

2025/2026 SSC unaipona Wapi?

Huu ni Mwenendo wa graph kupanda..

Wachambuzi muwe munawaeleza ukweli wadau ni timu ipi imeshindwa kufikia mafanikio kama ya msimu uliopita na ipi imeyavuka mafanikio ya msimu uliopita.!
 
2023/2024 Yanga ilifika Robo

2024/2025 Yanga imeishia Makundi

2025/2026 Yanga unaiona Wapi?

Huu ni mwenendo wa graph ya kushuka.!

Huko upande wa pili..

2023/2024 SSC ilifika Robo

2024/2025 SSC imefika Fainali

2025/2026 SSC unaipona Wapi?

Huu ni Mwenendo wa graph kupanda..
Wachambuzi muwe munawaeleza ukweli wadau ni timu ipi imeshindwa kufikia mafanikio kama ya msimu uliopita na ipi imeyavuka mafanikio ya msimu uliopita.!
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
 
Naomba tu kuweka kumbukumbu sawa;
Wachezaji wote wawili kutoka Mamelodi Sundowns wanakuja simba kwa mkopo! Na hii ni kutokana na ushawishi wa mwalimu Fadlu ambaye aliwahi kuwafundisha hao wachezaji kipindi cha nyuma, na bahati mbaya kwa sasa wamekosa namba kwenye kikosi cha Mamelodi Sundowns!

Ukija kwa Jonathan Sowah, huyu amesajiliwa kwa mkataba wenye "makubaliano maalum" kati ya mmiliki halali wa SBS na mmiliki halali wa simba! Na wakati huo huo Yanga inanua mikataba ya akina Balla Conte kutoka kwa Waarabu! Jeuri kubwa sana hii ambayo simba hawezi kuifanya.

Yeye ni mwendo tu wa free agents, mkopo, na makubaliano maalum!
 
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
Mataji hata kwenye makombe ya mbuzi mitaani yanapatikana. Yanga na Simba zinatakiwa kuanza kufanya vizuri kimataifa ikiwemo kuleta taji la Africa nchini.
 
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
Mataji.Mataji yenyewe ya ushindani upi?
 
Moja ya jambo ambalo wengi hamjashtuka lililofanywa na Simba kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita waliposaini mkataba na JayRutty hadi usajili wa sasa wa wachezaji wa Mamelodi, ni kuipa pressure ya kifedha Yanga.

Hizi timu mbili zinapenda sana kuigana. Kuna wakati hadi nakereka jinsi wanavyopenda kufuatana fuatana. Mmoja akifanya jambo linaloonekana bora, mwingine hataki muda mwingi upite asije akaonekana hakufanya jambo fulani. Kwa miaka mingi Yanga imekuwa inazodolewa kwa kuwa nyuma katika mambo mengi mpaka yafanywe na Simba. Siku hizi, Yanga wanahakikisha hata kama watachelewa kufanya jambo fulani lililoanzishwa na Simba, ila watahakikisha nao wanalifanya msimu huo huo ndani ya muda mfupi.

Mkataba wa JayRutty uliorodhesha mambo mengi ambayo kwa timu hizi mbili hayajawahi kufanywa. Hapa nitaorodhesha matatu.
1. Mkataba rasmi wa jezi na brand ya kimataifa (Diadora)
2. Basi la kisasa la Irizar
3. Uwanja

Nilivyosikia tu haya mambo yanapangwa nikasema Yanga wataenda kujipanga ili Simba ikianza tu kuyafanya, nao wajitutumue wafanya bila kuchelewa.

Kwenye jezi, inasemekana Yanga imeenda kufanya janja janja na wanakaribia kutangaza mkataba wa jezi na Adidas kupitia kwa GSM. Ikumbukwe Sheria Ngowi aliwahi kusema tayari ana design za jezi za Yanga za misimu kadhaa mbele zipo tayari, ila baada ya Diadora kutangazwa, wakaachana na Sheria. Wameingiwa na pressure.

Kwa wachezaji wa kutoka timu kubwa kama Mamelodi naona hilo limewashinda ila ngoja tusubiri, wanaweza nako wakajitutumua wakamshusha Mokoena.

Hii pressure ya kifedha Yanga wataiweza? Wataweza nao kuleta Irizar msimu huu ili wasionekane wamechelewa? Wataweza nao kuanza ujenzi wa uwanja wao ili wasipitwe na Simba au watatumia wanasiasa na watendaji ili wakwamishe mipango ya Simba?
Bado MO analalamika anapata hasara.
 
WhatsApp Image 2025-07-05 at 14.01.25.jpeg
 
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
Radio yenye mende naona inaongea tu redio pole sanaa
 
Moja ya jambo ambalo wengi hamjashtuka lililofanywa na Simba kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita waliposaini mkataba na JayRutty hadi usajili wa sasa wa wachezaji wa Mamelodi, ni kuipa pressure ya kifedha Yanga.

Hizi timu mbili zinapenda sana kuigana. Kuna wakati hadi nakereka jinsi wanavyopenda kufuatana fuatana. Mmoja akifanya jambo linaloonekana bora, mwingine hataki muda mwingi upite asije akaonekana hakufanya jambo fulani. Kwa miaka mingi Yanga imekuwa inazodolewa kwa kuwa nyuma katika mambo mengi mpaka yafanywe na Simba. Siku hizi, Yanga wanahakikisha hata kama watachelewa kufanya jambo fulani lililoanzishwa na Simba, ila watahakikisha nao wanalifanya msimu huo huo ndani ya muda mfupi.

Mkataba wa JayRutty uliorodhesha mambo mengi ambayo kwa timu hizi mbili hayajawahi kufanywa. Hapa nitaorodhesha matatu.
1. Mkataba rasmi wa jezi na brand ya kimataifa (Diadora)
2. Basi la kisasa la Irizar
3. Uwanja

Nilivyosikia tu haya mambo yanapangwa nikasema Yanga wataenda kujipanga ili Simba ikianza tu kuyafanya, nao wajitutumue wafanya bila kuchelewa.

Kwenye jezi, inasemekana Yanga imeenda kufanya janja janja na wanakaribia kutangaza mkataba wa jezi na Adidas kupitia kwa GSM. Ikumbukwe Sheria Ngowi aliwahi kusema tayari ana design za jezi za Yanga za misimu kadhaa mbele zipo tayari, ila baada ya Diadora kutangazwa, wakaachana na Sheria. Wameingiwa na pressure.

Kwa wachezaji wa kutoka timu kubwa kama Mamelodi naona hilo limewashinda ila ngoja tusubiri, wanaweza nako wakajitutumua wakamshusha Mokoena.

Hii pressure ya kifedha Yanga wataiweza? Wataweza nao kuleta Irizar msimu huu ili wasionekane wamechelewa? Wataweza nao kuanza ujenzi wa uwanja wao ili wasipitwe na Simba au watatumia wanasiasa na watendaji ili wakwamishe mipango ya Simba?
Team ya mzee Magoma ni kipi inaweza kufanya!? Labda kuliliana harusini wanaume kwa wanaume! (Uchoko) na hilo wanaliweza hasa tangu enzi hizo za Kabwili.
 
Moja ya jambo ambalo wengi hamjashtuka lililofanywa na Simba kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita waliposaini mkataba na JayRutty hadi usajili wa sasa wa wachezaji wa Mamelodi, ni kuipa pressure ya kifedha Yanga.

Hizi timu mbili zinapenda sana kuigana. Kuna wakati hadi nakereka jinsi wanavyopenda kufuatana fuatana. Mmoja akifanya jambo linaloonekana bora, mwingine hataki muda mwingi upite asije akaonekana hakufanya jambo fulani. Kwa miaka mingi Yanga imekuwa inazodolewa kwa kuwa nyuma katika mambo mengi mpaka yafanywe na Simba. Siku hizi, Yanga wanahakikisha hata kama watachelewa kufanya jambo fulani lililoanzishwa na Simba, ila watahakikisha nao wanalifanya msimu huo huo ndani ya muda mfupi.

Mkataba wa JayRutty uliorodhesha mambo mengi ambayo kwa timu hizi mbili hayajawahi kufanywa. Hapa nitaorodhesha matatu.
1. Mkataba rasmi wa jezi na brand ya kimataifa (Diadora)
2. Basi la kisasa la Irizar
3. Uwanja

Nilivyosikia tu haya mambo yanapangwa nikasema Yanga wataenda kujipanga ili Simba ikianza tu kuyafanya, nao wajitutumue wafanya bila kuchelewa.

Kwenye jezi, inasemekana Yanga imeenda kufanya janja janja na wanakaribia kutangaza mkataba wa jezi na Adidas kupitia kwa GSM. Ikumbukwe Sheria Ngowi aliwahi kusema tayari ana design za jezi za Yanga za misimu kadhaa mbele zipo tayari, ila baada ya Diadora kutangazwa, wakaachana na Sheria. Wameingiwa na pressure.

Kwa wachezaji wa kutoka timu kubwa kama Mamelodi naona hilo limewashinda ila ngoja tusubiri, wanaweza nako wakajitutumua wakamshusha Mokoena.

Hii pressure ya kifedha Yanga wataiweza? Wataweza nao kuleta Irizar msimu huu ili wasionekane wamechelewa? Wataweza nao kuanza ujenzi wa uwanja wao ili wasipitwe na Simba au watatumia wanasiasa na watendaji ili wakwamishe mipango ya Simba?
mi nawasisitizeni mfanye mazoezi huko mlipo mambo ya kuja kulia na GSM ligi ikianza hatutaki umbwa nyie
 
Nyuzi za mashabiki kabla ya msimu...
 
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
Kwa hiyo mwaka jana, uto alibeba cafcl cup?
 
Ndugu mbumbumbu mafanikio katika Mpira wa miguu ni Mataji na si nafasi unazoshika katika mashindano unayo shiriki.
Ayo mambo ya kucheza fainali ya shirikisho na kuona ni mafanikio Yanga walisha achana nayo miaka mitatu iliyo pita.
Umemwambia ukweli jamaa ila jina ulilolitumia lina ukakasi sana mzala bora ungemwita hata muhuni tu Simba wanashangilia fainal kwa Timu mbovu ile wanayoshangilia kufungwa goli chache na Berkane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom