Thats LOVE
Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!
Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR
Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?
Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.