OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,176
- 103,656
Huu ndio msimamo wangu. Sababu ipo wazi kabisa, sioni namna hata dalili kipande kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki.Kama unaiona nionyeshe.
Kibaya zaidi serikali ya awamu ya tano imejipambanua kwa vitendo kutokufuata misingi ya kidemokrasia na hata sheria iliyojiwekea. Mnataka wafanye nini ili uamini? Hukushuhudia uchaguzi za mitaa,hushuhudii ukandamizaji wa viongozi wa upinzani?
Hukumsikia muheshimiwa akitamka wazi kuwa haiwezekani mkurugenzi alipwe mshahara,apewe nyumba na gari halafu mpinzani atangazwe mshindi. Kauli hii iliwahi kukanushwa?
Sitapiga kura uchaguzi mkuu