Msimamo wangu ndani ya Chama

Msimamo wangu ndani ya Chama

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.

Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa
CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.

Mimi nikiwa kama mwanachama wa
CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.

naamini siku moja
CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.

CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.

Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!

Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!

Rosemary Kimaro!

 
hoja dhaifu zipi hizo...hujatoa mfano hata mmoja wa hoja dhaifu kutoka wa wanachadema wa jf.. kwa kifupi hueleweki..ila sikushangai vijan wengine Tanzania mna Aisha na mamb ya kufikirika ndo maaa unawez kuandika paragrafu tatu bil fano wa hoja nayozungumza...ple sana....who are u y the way..?
 
Ungetoa mifano ili waelewe vizuri labda wanaweza jirekebisha.
 
rosemarie mbona sasa hujaweka hadharani hoja yako? ua kwa kiufpi hujaongea chochote zaidi ya umri wako mkubwa chamani, vipi kuna mtu amekupinga kuwa hujajiunga miaka ya tisini? au kuna makala nyingine inafuata baada ya hii? asante
 
Last edited by a moderator:
Rose una haki yakikatiba kama mambo hayaendi lazima uyaseme bhna! me nakuunga mkono wanachama CDM hawana hoja zaidi ya escrow
 
rosemarie, hata kuandika hujui? Paraghaph ndeefu, hata nukta hamna. Hoja dhaifu, hukiamini chama chako. Unaonekana mchovu na umeshahongwa na magamba. Nenda CCM tu maana CHADEMA hatuwataki mazombi kama wewe, shrine!!
 
Last edited by a moderator:
rosemarie

Na wewe ni mpumbavu, una gubu sana. Sijui ndio ulokole wako wa kuunga unga? Molemo amekulipua kama mngemalizana kule kule sio kuja kujaza server kwa mikamasi yako kama hii. Mpuuzi sana wewe
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni kiumbe dhaifu sana. Nimesoma bandiko lako nikagundua umeandika si kwa kutaka kwa hiari yako bali umetakishwa. Naomba nikushauri tu usiendeleze kupoteza muda wako. Time is money, serve it!!!!!. Warudie waliokutakisha uandike bandiko hili hapa jukwaani. You are very empty
 
rosemarie hata usipate shida.JF sio platform ya CHADEMA.

Najua CHADEMA ina platform yake ya kutangaza na kujulisha jamii mambo yaihusuyo

Na platform hiyo sio JF

Na hapa JF kuna msemaji wa chama Kurugenzi ya Habari na Tumaini Makene

Sasa kuna watu wapuuzi kama Molemo hao wasikupe taabu....Ni wapuuzi wachache ambao tunao CHADEMA.

CHADEMA ni chama kikubwa inabidi pia tuvumilie kuwa na wapuuzi kama hawa

Nakubaliana na wewe na naukubali msimamo wako...Katika CHADEMA tufuate kanuni,sheria na Katiba ya chama...hivyo ndivyo vituunganishe.

Asante.

Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine bana yaani ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
rosemarie UELEWEKI, UMEACHIKA AU UNAKARIBIA KUACHIKA AU KUNA SHIDA KWENYE YAKO PLEASE SITDOWN NA UANDIKE VIZURI

Huyu Dada atakuwa na tatizo tofauti kabisa na haya mambo ya siasa.
Nadhani family problems
 
Last edited by a moderator:
Kama hukuwahi kutambua kuwa CHADEMA kupitia BAVICHA kina watetezi wa kiwango cha chini kabisa katika uelewa wa masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii basi utakuwa mgeni hapa Jamiiforums.

Nguli wa behavioral science aitwaye Steve Maraboli aliwahi kusema, People tend to be generous when sharing their nonsense, stupid and ignorance.

Hawa ndiyo BAVICHA.
 
rosemarie UELEWEKI, UMEACHIKA AU UNAKARIBIA KUACHIKA AU KUNA SHIDA KWENYE NDO YAKO PLEASE SITDOWN NA UANDIKE VIZURI

Wanawake aina ya rosemarie huwa ni michepuko tu, huwezi kuoa mwanamke mwenye gubu, anayependa kubishaba asite compromise kwenye ishu ndogo za kupita. Jana kaitwa kibaraka wa Lumumba na kamanda Molemo leo anakuja kuanzisha thread na kutupa historia yake iliyofurika uongo. Amwoe nani huyo kwa hulka yake?
 
Last edited by a moderator:
Na wewe ni mpumbavu, una gubu sana. Sijui ndio ulokole wako wa kuunga unga? Molemo amekulipua kama mngemalizana kule kule sio kuja kujaza server kwa mikamasi yako kama hii. Mpuuzi sana wewe

haya ndiyo malalamiko yangu,kujenga hoja tunashindwa kwa ajili ya kukurupuka,tulia fikiria kabla hajachukua hatua
 
Back
Top Bottom