Msimamo wa TZ jumuiya East Africa

Msimamo wa TZ jumuiya East Africa

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Wadau waJF kwa uzoefu wetu kwenye mambo ya muungano,mie ningeshauri watz chini ya CCM tupendekeze nchi za Afrika Masharki zisiunde shirikisho bali ziwe na uhusiano wa MUUNGANO wa Serikali tano.Yaani,tuwe na serikali moja ya muungano wa Afrika Mashariki kisha nchi washirika ziwe na serikali zao.

Kenya kwa kuwa ina uchumi mkubwa ndiyo iwe na serikali yenye kuvaa koti la Muungano wa nchi za Afika Mashariki

Sent from tecno p3
 
Huo Uchumi mkubwa wa Kenya unakusaidia. nini, Uchumi wenyewe unashikiliwa na mabepari wachache au hujasikia Serikali ya Kenya imeshindwa kuwalipa watumishi wake mishahara.
 
kenge wa porini

Ndg yangu mbona unakimbilia kutukana?Toa mawazo mbadala,usitukane.Mungu akusamehe kwa Jina la Masihi Yesu.

Wakati wa sherehe za miaka 50 ya muungano wa zanzibar na tanganyika rais alisema,muungano wetu ni wa mfano na wa kuigwa.Sasa kosa langu liko wapi hata unitukane?
 
Huo Uchumi mkubwa wa Kenya unakusaidia. nini, Uchumi wenyewe unashikiliwa na mabepari wachache au hujasikia Serikali ya Kenya imeshindwa kuwalipa watumishi wake mishahara.

rumor mongering.ubea ndio wako umeskia tu.endelea kuskia
 
Mkuu 1954tanu umeandika kwa mafumbo mno hawatakuelewa.
Ukweli ni kwamba yeyote anayeshabikia muungano wa serikali2, basi hapaswi kuwa na shida na hoja yako. Kwa kuunga mkono hoja na kwa kuzingatia jinsi jina la Tanzania lilivyopatikana basi napendekeza shirikisho hilo liitwe KENTANUGABURWA
 
Last edited by a moderator:
Hivi unajua tofauti ya GDP ya Tanzania na Kenya ni kias gani?
 
Hi kwamba Kenya anauchumi mkubwa kuliko ncho zote za Africa mashariki nadhani kwasasa ni dibetable, yawezeka kuna nchi zimeisha izidi Kenya kwasasa, Tanzania is among of them, chungulia GDP za nchi zote and then come back here!
 
Wadau waJF kwa uzoefu wetu kwenye mambo ya muungano,mie ningeshauri watz chini ya CCM tupendekeze nchi za Afrika Masharki zisiunde shirikisho bali ziwe na uhusiano wa MUUNGANO wa Serikali tano.Yaani,tuwe na serikali moja ya muungano wa Afrika Mashariki kisha nchi washirika ziwe na serikali zao.

Kenya kwa kuwa ina uchumi mkubwa ndiyo iwe na serikali yenye kuvaa koti la Muungano wa nchi za Afika Mashariki

Sent from tecno p3
naunga mkono
 
Kenya ikivaa koti la muungano itabidi kupoteza jina/ utambulisho na kuitwa KENTANUGABURWA Nairobi. Koti la muungano sio mchezo.
 
Kenya ikivaa koti la muungano itabidi kupoteza jina/ utambulisho na kuitwa KENTANUGABURWA Nairobi. Koti la muungano sio mchezo.

Mmezoea koti la muungano sasa kuwavulia kenya mtakubali? Naona ccm wakitamani kuvaa koti juu ya koti.
 
Kenya ikivaa koti la muungano itabidi kupoteza jina/ utambulisho na kuitwa KENTANUGABURWA Nairobi. Koti la muungano sio mchezo.

Naona umeunga mkono hoja yangu ya Jina la KENTANUGABURWA! lipiteeeeeee!
 
Ikiwa shirikisho halifai kwa Tanganyika na Zanzibar, kwetu sisi wa Tanzania tunaoujua muungano, hapana shaka shirikisho pia haliwezi kufaa kwa nchi za Afrika Mashariki.
 
Wadau waJF kwa uzoefu wetu kwenye mambo ya muungano,mie ningeshauri watz chini ya CCM tupendekeze nchi za Afrika Masharki zisiunde shirikisho bali ziwe na uhusiano wa MUUNGANO wa Serikali tano.Yaani,tuwe na serikali moja ya muungano wa Afrika Mashariki kisha nchi washirika ziwe na serikali zao.

Kenya kwa kuwa ina uchumi mkubwa ndiyo iwe na serikali yenye kuvaa koti la Muungano wa nchi za Afika Mashariki

Sent from tecno p3
Mkenya wa kweli bila bisibisi hana chakula... hakuna njaa kwa wenyeji kama Kenya.
Kenya ilipewa uhuru kwa masharti ya walichonacho waingereza kisiguswe, Uchumi wa Kenya ni wa Wageni, ni Povu kuliko Zimbabwe.
Tanzania tumesota lakini kilichomo ni chetu wenyewe na yenyewe iko bega kwa bega tayari na kenya, na ndio maana chupi inawabana marais wao macho yote kutukodolea kwa uoga, mnyama TZ kaamka.
 
Tushughulike muungano was Zanzibar kwanza ya kwetu yanatushinda twende east afrika kufanya nn?
 
Tushughulike muungano was Zanzibar kwanza ya kwetu yanatushinda twende east afrika kufanya nn?

East afrika ilikuwepo hata kabla muungano. EAC ni zaidi ya muungano. History
Regional co-operation in East Africa goes
more than 100 years back. Already in
1917, Kenya and Uganda formed a first
Customs Union, which was joined by the
then Tanganyika in 1927; it was followed
by the East African Common Services
Organisation that lasted from 1961 to
1967.
 
Matatizo yetu ya ndani ss km watanzania ni makubwa yanahitaji utulivu wa ya juu ndipo tuende huko east Afrika after all wa kenya, Rwanda ni watu Fulani wabinafsi Sana hivyo sio afya wao watuongoze!
 
Back
Top Bottom