Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
| |
|
| |
|
Yuko sahihi Wenje,yule Mkosamali nilimdhaniaga mtu makini kumbe hovyo kabisa no wonder ndo maana anampiga vita hata mwenzie Kafulira
wabunge wengine vilaza kweli huu ni ujinga kauli aliyotoa anasema ni yake yeye kama yeye ni si chadema wakati huo huo aliyepewa madaraka ni mbatia sasa kwanini ahukumu nccr si angemsema mbatia kama mbatia lakini kwa kuwa yupo upande wa chama chenye nguvu basi imekua nongwa !
Acheni wananchi ndo tupime !
Inawezekana yule diwani mliyetema pale mwanza bado anakuchanganya akili !
soma vizuri makala yake between lines utaelewa tu nadhani hapa umekurupukawabunge wengine vilaza kweli huu ni ujinga kauli aliyotoa anasema ni yake yeye kama yeye ni si chadema wakati huo huo aliyepewa madaraka ni mbatia sasa kwanini ahukumu nccr si angemsema mbatia kama mbatia lakini kwa kuwa yupo upande wa chama chenye nguvu basi imekua nongwa !
Acheni wananchi ndo tupime !
Inawezekana yule diwani mliyetema pale mwanza bado anakuchanganya akili !
Machali nilikua namkubali sna,kuna kipindi nilijua ni mbunge wa chadema badae nikagundua ni nccr nikasema kumbe nccr bado kuna majembe,he!ckuamini namna ambavyo akitetea ujinga live,nimepoteza imani na MOSES MACHALI kabisa hata kusoma upepo ameshndwa?safi sana kamanda WENJE.