kenethedmund
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 347
- 89
Tatizo lenu ampendi ukweli. Mbatia ni mwenyekiti wa nccr sasa wewe unategemea nini hapo kama mwenyekiti wa nccr bosi wake ni mwenyekiti wa ccm ambaye ndio amempa nafasi hiyo ya ubunge kwa utashi wake wa kisiasa alafu mbatia awe na ujasiri wa kumkosoa kikwete na serikali yake.
mbona huna aibu, kwa hili hata mtoto wa shule ya msingi anakupa jibu sahihi.
mbona huna aibu, kwa hili hata mtoto wa shule ya msingi anakupa jibu sahihi.