Msilikizeni Zitto Kabwe, Clouds FM muda huu

Status
Not open for further replies.

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,848
Mwanaume muda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za Clouds muda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati SIMBA wa nyika mpenda watanzania na
mpigania haki za wanyonge.
 
mara hii keshafika klauz !!tuambie anasemje?wengine hatupo karibu na radio
 
mwanaume kumsifia mwanaume mwenzako kwa style hiyo kuna shida kidogo hata kamaa unampenda punguza mahaba

anyway msikilizeni mtuambie anaongea nini wengine tuna allegy na sauti ya kibonde mzee wa chini ya meza
 
Zito kweli ni mtoto mdogo. Sikutegemea atakurupuka na ku react leo leo wakati ana shock. Lazima achemshe!. Mtatuambia.
 
Kukurupuka ndo kulimponza angetulia kwanza na kushauriana na wazoefu. Hiyo ni katiba huko nyuma ili shawauma Wengi wakiwemo waanzilishi wa vyama kama James Mapalala. Katiba sio gazeti la udaku. Ndio maana katiba yetu YA nchi Inataka umakini sana.
 
Akili yangu yote umepewa ban la maisha kumbe upo loh
 
mwanaume kumsifia mwanaume mwenzako kwa style hiyo kuna shida kidogo hata kamaa unampenda punguza mahaba

anyway msikilizeni mtuambie anaongea nini wengine tuna allegy na sauti ya kibonde mzee wa chini ya meza

Kwani huyu shai land ni mwanaume?
 
mwanaume mda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za clouds mda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati simba wa nyika mpenda watanzania na nimpingania haki ya wanyonge
asije akafia kwenye mic, bora angekaa kimyawatu waongeeeeeeeeee ndipo sasa aende redioni
 
Mwanaume muda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za Clouds muda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati SIMBA wa nyika mpenda watanzania na
mpigania haki za wanyonge.

Ninyi nyote x ndo mabingwa wa ndoa za jinsia moja...
 
Mwanaume muda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za Clouds muda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati SIMBA wa nyika mpenda watanzania na
mpigania haki za wanyonge.

Umeambiwa punguza nyege
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…