Msilaumu bure hawana uzoefu wa biashara

Msilaumu bure hawana uzoefu wa biashara

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,585
Reaction score
14,902
Inashangaza kuwalaumu mawaziri na watendaji wa wizara ya biashara kwa kutokuuza korosho. Sasa nani pale ana uzoefu wa kuuza korosho au biashara yeyote. Sasa bila uzoefu watajuaje cha kufanya usomi sio biashara. Watu wengi hawajui ukishakuwa na degree ya kwanza nyingine za masters na PHD ni research tu . Research hizi mara nyingi hazina uhusiano wowote na kazi wala uchumi wa sasa. Hivyo kuwachagua watu wasomi bila uzoefu ni bora tuchague machinga tu. Wizara ya biashara inataka wafanyabiashara na yale matatizo pale mkutanoni wangetakiwa wameshayajua muda mrefu. Yaani hata lema anajua zaidi🤔
 
Yule Mtanzania wa singida mwenye asili ya Kiarabu, anayejihusisha na alizeti, msukuma, pia yile mzee wa kigoma wanafaa kuwepo kwny kamati ya biashara na viwanda ya kumshauri rais au waziri, kama hiyo kamati ipo!
 
Back
Top Bottom