Msikiti mkubwa kuliko yote Duniani

Msikiti mkubwa kuliko yote Duniani

Status
Not open for further replies.

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
part-003.jpeg


Shah Feisal Mosque Islamabad Pakistan ..... Inside capacity 35,000 ...Outside overflow 150,000
 
Mashaallah,Ndio maana Obama ameapa kuwamaliza wapakistan kwa Drone ili mradi uislam ufutike duniani!mayor wa london kagoma kabisa kutoa kibali cha kujengwa largest mosque in the world
 
Mashaallah,Ndio maana Obama ameapa kuwamaliza wapakistan kwa Drone ili mradi uislam ufutike duniani!mayor wa london kagoma kabisa kutoa kibali cha kujengwa largest mosque in the world

Wewe Quadiani nini? Maana ule wa London ni wa makadiani!
 
mdini Ritz hafiki huku??
 
Last edited by a moderator:
Mashaallah,Ndio maana Obama ameapa kuwamaliza wapakistan kwa Drone ili mradi uislam ufutike duniani!mayor wa london kagoma kabisa kutoa kibali cha kujengwa largest mosque in the world

Anafahamu madhara yake, kule ulipo largest mosque in the world, mtoto wa kike akithubutu kupanua mdomo wanamfanya vile walivyomfanya Malala.

Nenda kapendekeze ujenzi wa chuo kikuu kikubwa kuliko vyote duniani uone kama atakataa
 
Anafahamu madhara yake, kule ulipo largest mosque in the world, mtoto wa kike akithubutu kupanua mdomo wanamfanya vile walivyomfanya Malala.

Nenda kapendekeze ujenzi wa chuo kikuu kikubwa kuliko vyote duniani uone kama atakataa

m'meghafilika na Dunia nyie !...........bahati mbaya hata hiyo elimu haiwasaidii ! Iweje una PhD lakini unaamini mungu alikamatwa kisha akapigwa mpaka kuuawa na watu wake !
 
Kiko Misri na kina miaka zaidi ya mia nne (400 yrs !)

Hey! Kauliza chuo sio Pyramid.

Chuo kikubwa kuliko vyote duniani ni Indira Ghandi National Open University cha India.

Huko Misri wanaongoza tu kwa uchunguzi hilo lazima nikiri. Wamefanya uchunguzi na kugundua kuwa ni sahihi kabisa kwa mwanaume kufanya mapenzi na maiti ya mkewe ndani ya masaa 6 tangu kifo ili kufaidi mahari yake mara ya mwisho.
 
Hatuendi hivyo mpwa wangu mi mwenyewe RC lakini maoni yako nimeyachambu na nimeyaelewa haraka sana hata zaid yako wewe uliyeyatoa senz sana

Uko deep sana ndugu..hata mimi nilimuelewa, ni muda wa kuambiana kweli huu, tuko katika hali mbaya sana..changes ni wewe...
 
m'meghafilika na Dunia nyie !...........bahati mbaya hata hiyo elimu haiwasaidii ! Iweje una PhD lakini unaamini mungu alikamatwa kisha akapigwa mpaka kuuawa na watu wake !

How pathetic!

Kwa hiyo Malala alipigwa risasi ili asisome akapata PhD ikamgaribu aamini mungu alikamatwa au?
 
Hey! Kauliza chuo sio Pyramid.

Chuo kikubwa kuliko vyote duniani ni Indira Ghandi National Open University cha India.

Huko Misri wanaongoza tu kwa uchunguzi hilo lazima nikiri. Wamefanya uchunguzi na kugundua kuwa ni sahihi kabisa kwa mwanaume kufanya mapenzi na maiti ya mkewe ndani ya masaa 6 tangu kifo ili kufaidi mahari yake mara ya mwisho.

Al Azhar University Cairo Masri, founded 970 !
acha kuandika upuuzi, ficha upumbavu wako !
Kingine kiko Timbuktu !
 
How pathetic!

Kwa hiyo Malala alipigwa risasi ili asisome akapata PhD ikamgaribu aamini mungu alikamatwa au?

Kwa kuwa wao wana mapenzi sana na watoto wa wenzao ! ........wamewapelekea elimu ya kuwafundisha kuwa mungu alijiua ili aokoe watu wake kwa adhabu aliyopanga yeye mwenyewe !
Pathetic -----fools- !
 
Al Azhar University Cairo Masri, founded 970 !
acha kuandika upuuzi, ficha upumbavu wako !
Kingine kiko Timbuktu !

Na ni chuo maarufu kwa ugaidi duniani. Magaidi wote wamesome hapa na wengine kuwa wahadhiri hapa.
So pathetic, msomi anasomea phd ya kujilipua? Bila shaka na wee Ally Kombo unapanga kujiua
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom