Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,409
Usilolijua litakusumbua sana. Endelea kukaa hapo hapo ulipo na mawazo mgando.
m'meghafilika na Dunia nyie !...........bahati mbaya hata hiyo elimu haiwasaidii ! Iweje una PhD lakini unaamini mungu alikamatwa kisha akapigwa mpaka kuuawa na watu wake !