habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Huku nape kule mwigulu, watembea na sumu watakoma mwaka huu
pumba tupu hiziiVp unatutajia walopokaji a.k.a premature, lema, mcgwa, sugu hawa nao wanawakilisha wananch? Sion wakisemea matatizo ya wananchi zaid ya kuropoka. Unauliza CCM imefanya nin? Mkubwa kichiz hata hujui! Mburula wewe. Sahz unaandika jf bila ccm ungejua kuandika wewe? Ndo sbb hamkubalik, et toka uhuru serikali haijafanya k2!
Hatuhangaiki kulipia gharama za matangazo kwenye media, tunawategemea maamuma kama Nape kututangaza
Kinyume chake!Naona CHADEMA wako kichwani kwa NAPE.
Nape lazima aisambaratishe chadema