Msikilize BaBa Aminata, afunguka siri nzito

Msikilize BaBa Aminata, afunguka siri nzito

Je huyu Mzee nani kamtuma kuja kuzungumza haya . Je ni Maza au rafiki yake.?

Wanamtandao uchaguzi ukikaribia tofauti huziweka pembeni, ili kulinda tunu ya Taifa Amani 💵💵💵
 
Je huyu Mzee nani kamtuma kuja kuzungumza haya . Je ni Maza au rafiki yake.?

Wanamtandao uchaguzi ukikaribia tofauti huziweka pembeni, ili kulinda tunu ya Taifa Amani 💵💵💵

Sahani ya ubwabwa maharage 😂😂😂😍
 
Zakuambia changanya na za kwako.

je kwanini ni kipindi hiki za lalasalama.

CCM wana wasiwasi kuwa wananchi watasusuia kupiga kura,

Na muona baba aminata akiilaumu chadema kuwa ni wakaidi na wasio kuwa na adabu.

Kadri upepo unavyopuliza ndivyo uchi wa kuku unavyoonekana.




View: https://www.youtube.com/watch?v=aQDnws2L5YA

Kichwa cha habari kiko tofauti na mzungumzaji
 
Zakuambia changanya na za kwako.

je kwanini ni kipindi hiki za lalasalama.

CCM wana wasiwasi kuwa wananchi watasusuia kupiga kura,

Na muona baba aminata akiilaumu chadema kuwa ni wakaidi na wasio kuwa na adabu.

Kadri upepo unavyopuliza ndivyo uchi wa kuku unavyoonekana.
Hii ni video ya January 2024 na sio ya leo!
P
 
Huyu naye mvua ya mawe itamnyeshea we subiri watu wajipange. Yaani huyu mzee angenyamaza waendelee na kampeni. Si wakati wa kulahumu CDM, yaani nao watakuja kumumvua nguo. Maana hapo unasikilizwa upande mmoja tu. NAHISI HII NI YA ZAMANI.
 
Hotuba fupi ni dk 3-5
Ikiendelea huo ni mikutano wa hadharani
, sheria inafuata tu mkondo wake
We Mzee, nakukumbusha TU, kuwa Sheria ni msumeno, Hatma inadai Haki zao.
Hakuna atakae kuja kukutetea wala kukusaidia
 
Back
Top Bottom