Msije tuambia Dr. Ulimboka amekufa

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Mods sasa hii ni noma kufuta threads-

Kimsingi wahusika wote husasani madaktari muwe makini, kulinda afya ya dr. Ulimboka, ni wazi atakuwa anatafutwa na watu wenye nguvu, uwezo kifedha na support kubwa kutoka kwa waliowatuma.

Nahofia tusije ambiwe alizidiwa ghafla hatuna tena. Chonde chonde kuweni makini.

Nawasilisha tena.
 
Back
Top Bottom