Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,160
- 11,228
Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amewasihi waandishi wa habari kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi kwa kuwapa nafasi wagombea wote bila upendeleo.
Aidha, amesema kuwa wameunda kamati maalum inayoshirikisha serikali, Jeshi la Polisi, vyombo vya habari, Idara ya Habari–MAELEZO na Jukwaa la Wahariri, ambayo itakuwa inakutana kila wiki kwa lengo la kuhakikisha upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Aidha, amesema kuwa wameunda kamati maalum inayoshirikisha serikali, Jeshi la Polisi, vyombo vya habari, Idara ya Habari–MAELEZO na Jukwaa la Wahariri, ambayo itakuwa inakutana kila wiki kwa lengo la kuhakikisha upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.