Akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 20, 2026 Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali ya Tanzania kupitia TPDC inamiliki asilimia 15% katika Mradi wa Crude oil pipeline wenye ubia na TotalEnergies (62%), Uganda National Oil Company (15%), and CNOOC kampuni ya China(8%).
Msigwa amesema kuwa licha ya kupata faida kiuchumi kupitia mrradi wa Crude Oil Pipeline tayari Vijana wa Tanzania zaidi ya 9,100 wamepata ajira
Msigwa amesema kuwa licha ya kupata faida kiuchumi kupitia mrradi wa Crude Oil Pipeline tayari Vijana wa Tanzania zaidi ya 9,100 wamepata ajira