Mchungaji msigwa leo amekua kilaza wa Magufuli tena!?
Kilaza wa Magu katika ubora wake!!!!
Kilaza wa Magu katika ubora wake!!!!
Kweli Bashite ana user names nyingi hapa JF. Lumumba Stars inacheza leo, umemwachia nani kamati ya kufungwa?Ndugu zangu,
Kitendo cha msigwa kuikariri ilani ya CCM inatia shaka sana.Siku za karibuni Mbunge wa Iringa ndugu Peter Msigwa amekuwa akiambatana na ilani ya CCM mithili ya Padri na Biblia au Sheikh na Quran halia ambayo inaleta hofu miongoni mwa makada wa Chadema mkoani humo.
Je,nayeye kufuata nyayo za akina Nassari na Lissu kuunga mkono juhudi kwa mtindo wake?
Ni dhahiri Msigwa anaowaonesha wana-Iringa jinsi anavyotekeleza ilani ya CCM kivitendo.
Haya.View attachment 1143794
Kamanda hatari sanaWakati Mwigulu anamvisha mbwa Bendera ya CDM hakuibeba? Inategemea tu ilani anaitumia kwa kazi gani
Kwahiyo wanaotembea na Biblia/Quran ni wakosoaji?kamanda kuwa makini?Ukitaka kuikosoa nyumba iliyojengwa vibaya yapaswa uingie ndani kuiona Kama kweli ni mbaya, Msigwa anasoma ilani ya CCM ili kupata kilichoahidiwa na kukikumbusha au kuikosoa CCM kwa kutotekeleza walichokiahidi,
Hongela Msigwa, unajua, Kama huna ushahidi usikosoe, unasoma ahadi zao ili kukosoa
Ndo hivyo.... Ukiona mkristu anatembea na kurani au muislam anatembea na biblia, ni kukosoa tu...Kwahiyo wanaotembea na Biblia/Quran ni wakosoaji?kamanda kuwa makini?
HayaNdo hivyo.... Ukiona mkristu anatembea na kurani au muislam anatembea na biblia, ni kukosoa tu...
TusubiriMsigwa kama una malengo ya ubunge 2020 hauna namna
Kuna mdau kapost magu hata ukimsmamisha na Pierre likwid
Pierre anatangaza ushindi mapema tu
Ujazungumziaje hili