Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Mbunge wa Iringa Mjini kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, Mch Peter Msigwa amesema Serikali imekuwa ikifanya mipango ambayo haipo katika mpango wa miaka mitano ambayo imekuwa ikiligharimu Taifa. Msigwa amewasha moto huo wakati akichangia katika wizara ya fedha na mipango.