MSIGWA apata dhamana

MSIGWA apata dhamana

Mbunge wa Iringa mjini Mh.Peter Msigwa ametimiza masharti ya dhamana huku wengine 60 wakimalizia taratibu zakupewa dhamana.[ mbona hii mambo huyu mbunge hayaletwi humu jukwaan mapema? Mbona lema akikohoa tu inaandikwa? Watu wa iringa amkeni.
 
Ukombozi hauji lelemama. Hata Mandele ameishi sana jela.
 
Mbunge wa Iringa mjini Mh.Peter Msigwa ametimiza masharti ya dhamana huku wengine 60 wakimalizia taratibu zakupewa dhamana.

Mbunge Msigwa akishuka katika gari ya polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana huu​
Mbunge Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea chumba cha mahakama​
Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya kufikishwa mahakamani leo
Toka Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
 
Mwenyezi MUNGU yuu upande wako msigwa wala usihofu.

MBONA MIJI MINGINE MFANO DODOMA,SHINYANGA NA SUMBAWANGA WAMACHINGA WAMEJAA TELE KILA KONA..MBONA HAWAONDOLEWI??KULIKONI IRINGA MJINI AU NDO SIASA ZA MAJI TAKA?
 
A Luta Contiua...

Rudi mjengoni ukaongeze kifua mpaka kielewekeeeeee!
 
nchi hii ukiwa muoga huwezi kuwatetea walalahoi ambao ki uhakika ndiyo wapiga kura.
 
Hatimaye kamanda wetu amepewa dhamana na mahakama muda huu.
 
Mwenyezi MUNGU yuu upande wako msigwa wala usihofu.

MBONA MIJI MINGINE MFANO DODOMA,SHINYANGA NA SUMBAWANGA WAMACHINGA WAMEJAA TELE KILA KONA..MBONA HAWAONDOLEWI??KULIKONI IRINGA MJINI AU NDO SIASA ZA MAJI TAKA?

Huko unakotaja wamekwisha amka kasoro Dodoma, wanaona wakiwatibua wagogo walioko usingizini hata hapo Bungeni hapatakalika. Ila wanalazimisha Iringa nayo ibaki ndani ya blanket la kutokujua haki yao! Watu wa Iringa wana historia ya kuwa mashujaa kama babu yao Mkwawa, komaeni mpaka wawatimizie matakwa yenu!
 
siku hizi kulala polis sio kazi, ccm haijui kuwa inazidi kutukomaza.!!
 
Hawa polisi nao....wanatumia miguvu kukamata watu na baadaye wanapata dhamana na kurudi jukwaani na kesi inabaki kutajwa tu....wanasafirisha bhange kwa kutumia usafiri wa geshi lao...wanapiga mabomu wavuta bangi karibu na nyumba za ibada...halafu wanatangaza kutii sheria bila shurti....wanataka ulinzi shirikishi wakati hawataki kushiriki...swali, polisi wa mataifa mengine nao wako hivi au ni watz tu?
 
Hongera kamanda na wapiganaji wako kwa kufikisha ujumbe.maana mby wamachinga mwanjelwa wanauza siku 7 kwa wk,siku 30 kwa mwezi,na siku 365 kwa mwaka.kwanini iringa wakatazwe kuuza siku1-wa wk ili kujiongezea kipato? Ama kweli ukitaka kuju akili ya mtu mpe nafasi ya kusema au kutenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom