Jimbo lishaondoka hilo, hakuna alichokifanya cha maana kwa muda wa miaka mitano, yeye aendelee na kazi yake ya zamani ya kulisha Kondoo wa BWANA, hiyo ndio inamfaa!
Mashule alirekebisha mengi, Barabara za ndani na pia alitatua kero za maji katika baadhi ya maeneo kwa kiasi kikubwa.
2010 alishinda kwa tofauti ya kura 1000+
2015 anashinda kwa tofauti ya kura 27000+
PSM HANA MPIZANI IRINGA MJINI.
Hivi kwa 'nyomi' yote hiyo aliyoipata Mchungaji Msigwa, bado Sisiemu wanaota ndoto za mchana na kujifariji eti wataligomboa jimbo hilo la Iringa mjini.
CCM mna vituko mweeee!! Mdomoni mnadharau Msigwa hajafanya kazi, ila mioyoni mwenu roho zinawasuta na wengine kufikia october 25 mtakuwa mmekufa kwa presha. Kama unajua hesabu ulitakiwa ufanye hesabu upate ratio ya wanaohudhuria kwa Msigwa na wanaohudhuria kwa mikutano yenu ya CCM. mbao hawajahudhuria hata kama hawajahudhuria mioyo yao iko kwa Msigwa, over. Mimi ni mmoja wa watu ambao hawakufika uwanjani leo, lakini story ya Msigwa leo imekuwa gumzo kila upande wa mji wa Iringa. Wanamjua Msigwa tuu, wengine mtasubiri sana
Hivi kwa 'nyomi' yote hiyo aliyoipata Mchungaji Msigwa, bado Sisiemu wanaota ndoto za mchana na kujifariji eti wataligomboa jimbo hilo la Iringa mjini.