Msigwa afunika Iringa Mjini

Msigwa afunika Iringa Mjini

DJ NYUKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
370
Reaction score
89
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.
11749634_674302662699782_119222844_n.jpg

11750690_10206128734150408_4998628468766549878_n.jpg
 

Attachments

  • 1437320197620.jpg
    1437320197620.jpg
    12.2 KB · Views: 9,360
  • 1437320210710.jpg
    1437320210710.jpg
    14.5 KB · Views: 7,513
  • 1437320221470.jpg
    1437320221470.jpg
    9.9 KB · Views: 6,613
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.

Kama alifanya mema hakuwa na haja ya kuitisha mkutano tena wa kusema alichokifanya, kwani kingeonekana!
 
Ni katika mkutano uliofanyika Leo 19/7/2015.Mkutano ulikuwa wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua na kuwataarifu wananchi mambo aliyoyafanya kwa miaka mitano ya uwakilishi wake.

Hii ni mara 10 zaidi ya mapokezi ya Magufuli Geita.... Mwaka huu kazi ipo, I bet Ukawa kushika dola oktoba
 
Back
Top Bottom