imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Wema pia kasema hakina amani.Acha kife
Wema pia kasema hakina amani.Acha kife
Hivi mzigo uko mwingi wa kufanya usajiliKama NCCR Mageuzi ilipotea......Chadema ni kitu gani bila Sera na hoja madhubuti kwa Watanzania!? Kila kukicha mnatengeneza matukio ya kuchafua hali ya hewa. Watanzania sio wapumbavu kama mnavyofikiri.
cc: mrangi
Tehe tehe........just Tehe teheeee. Karibu supu kamanda.Hivi mzigo uko mwingi wa kufanya usajili
Ova
Amekupa tahadhari kuwekaKwa nini nibadili ID? Mimi sijajificha kwenye kichaka kama wewe!!
Tuliambiwa zimeagiziwa GuanzhouTokea lini suti za mtumba zikauzwa laki sita? mwenyekiti ni bingwa wa kuwahadaa watanzania.
.....
#Ni Kweli kuwa Mh Magufuli kwa sasa anafanya mengi makuu na kujali kodi za wananchi ila tukumbuke kuwa Muda wake ukiisha tunaweza kumpata mtu mbovu kabisa..
Asante mbabe.....mwaka wenu huuTehe tehe........just Tehe teheeee. Karibu supu kamanda.
Thubutuu labda sio mangi.Tuliambiwa zimeagiziwa Guanzhou