Kama ntazua mjadala mwingine mnisamehe ila kwangu mimi sioni faida ya Bikra zaidi ya ghasia tupu, bikra haimaanishi wala ku-reflect usafi wa Binti katika mienendo na matendo yake kwa ujumla, to me Bkira ni sawa tu na sisi wanaume mwenye govi which needs to be removed!!! NKatika ujana wangu na maisha yangu kwa ujumla nimeshawatoa wasichana wanne, na wa mwisho tulitumia sabuni na mafuta yale ya Care......nilifurahi sana ila deep inside my heart nilikua nikijiuliza je nimepata faida gani zaidi ya mimi kuishia kung'atwa vidole, kutoka majasho na hata wakati mwingine kupata michubuko kwenye uume?
Kwa hio Mpwa kuja kwako hapa na hadithi hii ambayo tena inajichanganya, ubikira ukiiukuta, ng'oa tupa kule endelea na safari, sio suala la kuweka matangazo, hata hivyo nakupongeza kwa kum'bikiri huyo Whielady tena kama utaweza wabikiri wote bhana big up (just kidding)