S Sally Member Feb 25, 2008 42 0 Sep 28, 2011 #1 Natafuta msichana wa kufanya kazi za nyumbani. Awe ni wa kulala huko huko kazini.Kwa anayetafuta kazi tuwasiliane kwa namba 0784 580 333
Natafuta msichana wa kufanya kazi za nyumbani. Awe ni wa kulala huko huko kazini.Kwa anayetafuta kazi tuwasiliane kwa namba 0784 580 333
S Sally Member Feb 25, 2008 42 0 Sep 28, 2011 Thread starter #4 Mshahara ni mzuri.Kabila lolote.Familia ina watoto 3, wawili boarding na mmoja yuko darasa la 3
F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,637 37,858 Sep 28, 2011 #5 Sally said: Natafuta msichana wa kufanya kazi za nyumbani. Awe ni wa kulala huko huko kazini.Kwa anayetafuta kazi tuwasiliane kwa namba 0784 580 333 Click to expand... a) umeoa au umeolewa b) mna watoto wangapi? c) wana familia ni wangapi hapo nyumbani kwenu? d) Nyie kabila gani, maana makabila mengine kwa kutuma tuma wamebarikiwa. maelezo plse!! usije ukawa unatafuta mke kwa njia hii.
Sally said: Natafuta msichana wa kufanya kazi za nyumbani. Awe ni wa kulala huko huko kazini.Kwa anayetafuta kazi tuwasiliane kwa namba 0784 580 333 Click to expand... a) umeoa au umeolewa b) mna watoto wangapi? c) wana familia ni wangapi hapo nyumbani kwenu? d) Nyie kabila gani, maana makabila mengine kwa kutuma tuma wamebarikiwa. maelezo plse!! usije ukawa unatafuta mke kwa njia hii.
S Sally Member Feb 25, 2008 42 0 Sep 28, 2011 Thread starter #7 kazi atafanyia Dar maeneo ya Boko, kabila ni lile kubwa
A Asuu Member Sep 8, 2011 39 2 Sep 28, 2011 #8 Sally said: kazi atafanyia Dar maeneo ya Boko, kabila ni lile kubwa Click to expand... lilekubwa....? Una maanisha kabila lipi? Hebu fanya jitihada za kua muazi tuku kwamue.
Sally said: kazi atafanyia Dar maeneo ya Boko, kabila ni lile kubwa Click to expand... lilekubwa....? Una maanisha kabila lipi? Hebu fanya jitihada za kua muazi tuku kwamue.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Sep 29, 2011 #9 Asuu said: lilekubwa....? Una maanisha kabila lipi? Hebu fanya jitihada za kua muazi tuku kwamue. Click to expand... Kuna kabila kubwa zaidi ya Wahaya!!
Asuu said: lilekubwa....? Una maanisha kabila lipi? Hebu fanya jitihada za kua muazi tuku kwamue. Click to expand... Kuna kabila kubwa zaidi ya Wahaya!!
BPM JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,760 573 Sep 29, 2011 #11 mbona anaweka cv yake na familia yake kwa mkato sana
Mzee Wa Rubisi JF-Expert Member Nov 6, 2010 1,757 437 Sep 29, 2011 #12 daughter said: unaishi wapi? isije kuwa mtwara Click to expand... Naomba kazi kwanza pili ukapangiwe kituo kwa swali lako we si mfanyakazi
daughter said: unaishi wapi? isije kuwa mtwara Click to expand... Naomba kazi kwanza pili ukapangiwe kituo kwa swali lako we si mfanyakazi