Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Wewe ni mdada au unamjua mdada ambaye ni hard working na ni mcha Mungu anayeweza kufanya kazi bila kusimamiwa.
NiPM haraka mawasiliano yake, kuna kazi ya ndani na kuangalia mtoto mmoja. Mshahara ni sh 150,000.
Kazi sio nyingi kwani kuna wadada wengine 2 wanashughulika kupika na usafi.
Muhimu uwe na cheti cha kuzaliwa na barua yenye picha kutoka serikali ya mtaa uliopo.
Nafasi ya kazi ipo Dar city center
Karibuni
NiPM haraka mawasiliano yake, kuna kazi ya ndani na kuangalia mtoto mmoja. Mshahara ni sh 150,000.
Kazi sio nyingi kwani kuna wadada wengine 2 wanashughulika kupika na usafi.
Muhimu uwe na cheti cha kuzaliwa na barua yenye picha kutoka serikali ya mtaa uliopo.
Nafasi ya kazi ipo Dar city center
Karibuni