Mwanaume mwenzangu anaona ajabu sana kutongozwaWanaume kama mabinti
Mwanaume unatongozwa(kama ni kweli lakini) unakuja kuomba ushauri cha kujibu?
CC Lady jaydee
Hajazoea ndio maana kaja kutangazaMwanaume mwenzangu anaona ajabu sana kutongozwa
Wanaume wa mikoani mnatuangusha sana.Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE.
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?
Mkulima huyo hajui kakutana na CD katamani vijisenti vyake yeye anaamini kweli ni mwanachuo.Huyo dada nae kakosa wa kumtongoza
Unapenda kutongozwa baada ya kuonana mara ngap?!