Swali zuri sanaUnapenda kutongozwa baada ya kuonana mara ngap?!
Tahira hili linataka sifa tu za kingese, nina mashaka inawezekana kapungiwa tu mkonoWanaume kama mabinti
Mwanaume unatongozwa(kama ni kweli lakini) unakuja kuomba ushauri cha kujibu?
CC Lady jaydee
Demu alikuwa anakutafuta mda mrefu na haumfahamu what a looser... U don't even know what you talking aboutSiku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE.
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?
Hhahahahhhah umeandika kwa kukereka hadi basiTahira hili linataka sifa tu za kingese, nina mashaka inawezekana kapungiwa tu mkono
hahaaahhaha...good qnUnapenda kutongozwa baada ya kuonana mara ngap?!
Ndo hivo manake siku hizi ...mna kampeni yenu hiyo kila aliwezalo mwanaume na mwanamke analiweza......ngoja na sisi tuanze kung'ata kucha tu
Hivyo hii nayo tuiite hamsini kwa hamsini si eti?.
Ndo hivo manake siku hizi ...mna kampeni yenu hiyo kila aliwezalo mwanaume na mwanamke analiweza......ngoja na sisi tuanze kung'ata kucha tu