BlackBella
Member
- Aug 10, 2012
- 28
- 10
- Thread starter
- #21
Mm ni matanzania kaka,naomba nifaamishe kuhusu hiyo google agency.
kwani bella maneno yako ynauongo mwingi mmno,wewe kwa miaka 18 umemaliza form 6 lini na matokeo ushayaona na hizo lugha ukazisoma? maana kila anaemaliza form 6 anamatarajio ya shahada. otherwise kuna watu hawatafuti kazi la zaidi wanataka kuonekana tu pls acheni utani
Ahsante unavyofikiri,naomba unielewe kaka mm nina elimu ya form 6 na ndio nimetoka shule,sasa kuna kizuizi gani kinachonifanya nisitafute ajira,sio lazima eti nisubiri matokeo,kila mtu ana matatizo yake kaka.
Naitwa BELLA,ni msichana wa miaka 18,natafuta kazi yoyote ile,ninaweza kuzungumza vizuri lugha ya KIINGELEZA,KIFARANSA NA KIITALIANO,nipo DAR ES SALAAM,elimu yangu ni FORM SIX,naomba tuwasiliane kwa email adres ifuatayo blackbella94@ovi.com
Kuna kazi unaitaka weye........
Acha uongo miaka 18?obvios mtu akiwah kuanza shule anaanza la 1 na miaka 6,anamaliza na miaka 13,o-level 17,a-level miaka 20,xo wewe umesoma nch gan umalize 6 na miaka 18