MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Wadau kwema humu,
Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye ni mgonjwa. Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa, nikiwa nanunua maji kugeuka pembeni yangu nikakuta msichana mzuri mweusi mwenye umbo la kati wa umri kama miaka 25 hivi amesimama pembeni yangu
Nilipogeuka tuligongana macho, akaanza kutabasamu tu na nikampuuza nikaendelea kuzunmgza na muuza maji. Mara akanishika bega, nilipogeuka akacheka akatasamu.
Nikamuliza unasemaje akasema hakuna kitu,basi tu. Badae akaniambia kituo cha mwendokasi kipo wapi? Nikamuonesha na hakuelekea huko tena.
Sasa alipoondoka nikamuuliza muuza maji unamfahamu
Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye ni mgonjwa. Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa, nikiwa nanunua maji kugeuka pembeni yangu nikakuta msichana mzuri mweusi mwenye umbo la kati wa umri kama miaka 25 hivi amesimama pembeni yangu
Nilipogeuka tuligongana macho, akaanza kutabasamu tu na nikampuuza nikaendelea kuzunmgza na muuza maji. Mara akanishika bega, nilipogeuka akacheka akatasamu.
Nikamuliza unasemaje akasema hakuna kitu,basi tu. Badae akaniambia kituo cha mwendokasi kipo wapi? Nikamuonesha na hakuelekea huko tena.
Sasa alipoondoka nikamuuliza muuza maji unamfahamu