Msichana anichekea, aniuliza uelekeo na kupotea ghafla

MR.NOMA

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
338
502
Wadau kwema humu,

Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye ni mgonjwa. Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa, nikiwa nanunua maji kugeuka pembeni yangu nikakuta msichana mzuri mweusi mwenye umbo la kati wa umri kama miaka 25 hivi amesimama pembeni yangu

Nilipogeuka tuligongana macho, akaanza kutabasamu tu na nikampuuza nikaendelea kuzunmgza na muuza maji. Mara akanishika bega, nilipogeuka akacheka akatasamu.

Nikamuliza unasemaje akasema hakuna kitu,basi tu. Badae akaniambia kituo cha mwendokasi kipo wapi? Nikamuonesha na hakuelekea huko tena.

Sasa alipoondoka nikamuuliza muuza maji unamfahamu
 
Wadau kwema humu,Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye Ni mgonjwa.Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa,nikiwa na nunua maji kugeuka pembeni yangu nikakuta msichana mzuri mweusi mwenye umbo la kati wa mri kama miaka 25 hivi amesimama pembeni yangu na nilipogeuka tuligongana macho, akaanza kutabasamu tu,na nikampuuza nikaendelea kuzunmgza na muuza maji,Mara akanishika bega,nilipogeuka akacheka akatasamu.Nikamuliza unasemaje,akasema hakuna kitu,basi tu.badae akaniambia kituo Cha mwendokas kipo wapi? Nikamuonesha na hakuelekea huko tena.sasa alipoondoka nikamuuliza muuza maji unamfaha
Unaonekana wewe sio ri-jari.
 
Wadau kwema humu,Jana Jumamos, majira ya saa 12 jioni nikiwa nimevuka kutoka Kigamboni kumsalimia Baba wa rafiki yangu ambaye Ni mgonjwa.Nikasimama mahala kununua maji ya kunywa,nikiwa na nunua maji kugeuka pembeni yangu nikakuta msichana mzuri mweusi mwenye umbo la kati wa mri kama miaka 25 hivi amesimama pembeni yangu na nilipogeuka tuligongana macho, akaanza kutabasamu tu,na nikampuuza nikaendelea kuzunmgza na muuza maji,Mara akanishika bega,nilipogeuka akacheka akatasamu.Nikamuliza unasemaje,akasema hakuna kitu,basi tu.badae akaniambia kituo Cha mwendokas kipo wapi? Nikamuonesha na hakuelekea huko tena.sasa alipoondoka nikamuuliza muuza maji unamfaha
Dadeki zako najuta kusoma upuuzi wako huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu....
Umekutana/umependwa na jini...tehteehh
FB_IMG_1552328581505.jpg
 
Kama unasomaga jf hebu tupe mrejesho. Je, mgonjwa uliyeenda kumwona bado yupo hai?? Je, weye ulilala salama hadi asubuhi?? Hujamuona tena yule mdada?? Hilo ni Jini Makata au Mahepe.
 
Nipo salama mkuu
Kama unasomaga jf hebu tupe mrejesho. Je, mgonjwa uliyeenda kumwona bado yupo hai?? Je, weye ulilala salama hadi asubuhi?? Hujamuona tena yule mdada?? Hilo ni Jini Makata au Mahepe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom