Msichana anayejitambua anahitajika

Msichana anayejitambua anahitajika

samlaza

Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
9
Reaction score
7
Nahitaji mwanamke mwenye kujitambua, elimu yeyote kuanzia form four. Kama unasifa hizo please nicheki kwenye pm
 
Nakaa najiuliza kwanini wote wanaotafuta wenza humu aidha ni member au junior member hao JF senior expert members na wengineo wamepotelea wapi.Just thinking out loud.

Kila la heri mkuu

 
Na leo ni siku ya wanawake,hope watakuwa wamekuelewa watafurika huko pm baada ya maandamano!
 
Nakaa najiuliza kwanini wote wanaotafuta wenza humu aidha ni member au junior member?hawa JF expert senior members na wengineo wamepotelea wapi?Just thinking out loud!!Kila la kheri mkuu!!

1. Sisi ma expert huwa tuna-create account za kutafutia 'mizigo' 2. maexpert tumeshapata tunalea mapenzi yetu 3.
 
1. sisi ma expert huwa tuna-create account za kutafutia 'mizigo' 2. maexpert tumeshapata tunalea mapenzi yetu 3. ...

Huoni kama watu wakivaa uhalisia wao ndo inaongeza chances za suala zima kuchukuliwa serious na hence kuvutia watu kama wao!!
 
Duuuuuu kazi kwelikweli fafanua wa nn hao sasa wakija nanee mbonaa kazii hebuu funguka mkuu kuna nn naoo haooo
 
Nahitaji mwanamke mwenye
kujitambua, elimu yeyote kuanzia form four. Kama unasifa hizo plz nichek
kwenye pm

Mm najitambua tena kwenye kutunza hela ndo kabisa nitakulinda na mali zako ntazilinda. unaowadai wote ntahakikisha wanakulipa.
 
Huoni kama watu wakivaa uhalisia wao ndo inaongeza chances za suala zima kuchukuliwa serious na hence kuvutia watu kama wao!!

Ha... hujui kuwa kuna watu tuna ingia huku na wake zetu,tukiweka uhalisia si patachimbika huko home!
 
ha...hujui kuwa kuna watu tuna ingia huku na wake zetu...tukiweka uhalisia si patachimbika huko home!

Ha ha ha sasa mtongeze wanawake wengine kwa mantiki gani na mna wake zenu msojituliza??unajifunga kamba mwenyewe mkuu!!
 
ha ha ha sasa mtongeze wanawake wengine kwa mantiki gani na mna wake zenu msojituliza??unajifunga kamba mwenyewe mkuu!!

Ha!dini inaniruhusu eti...hata hivyo hiyo hiyo kila siku haikukinai...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom