Msichana anapokuambia anakupenda

Msichana anapokuambia anakupenda

anataka dushe huyo we zubaa wajanja wale mzigo
 
Hebu twende beyond kidogo, katika maisha ya kila siku kuna kitu kinaitwa nyota. May be kwa sasa nyota inang'aa, ingawaje suala la kutongozwa na wanawake lina uzito wake katika jamii zetu za kiafrika.huwa tunasema una kismati. Lakini unatakiwa ufahamu kupendwa na mwanamke ni jambo moja na kutamkiwa ni jambo jingine. Kuna watu wengi tu wanapendwa na wanawake lakini wanaweza wasitamkiwe. Kwa nn? Inategemeana na jinsi gani mtu anavyo behave. Labda nikupe hii dondoo ifuatayo; wanawake wanapata hofu ya kuwatamkia wanaume waongeaji sana na wanaume ambao wako seriuos.ila ni wepesi kwa wanaume wakarimu na wapole, wasio na makuu.Nitatoa sababu. Ikumbukwe hapa nazungumzia kutamkiwa sio kupendwa. Kupendwa hata uwe vipi utapendwa tu!. Sababu ya mwanamke kupata hofu ya kuwatamkia aina ya watu nliowataja ni kama; kuna wale wanaume ambao ni talkative, yan ye akiwa chuo, kazin stori huwa haziishi. Mwanamke huhofia endapo nikikataliwa na huyu mtu itakua ndo habari ya chuo.Hivyo hujitahidi kutengenza mazingira ili wewe mwanaume umwambie. Kwa upande wa wanaume serious; hapa mwanamke humuingia ugumu wa kupata attention ya mhusika.mtu akija kazin mpaka anaondoka hana story na mtu. Hii hupelekea mwanamke kuogofya. Nb: Uso wa mwanamke umeumbwa na haya zaidi ya mwanaume. Ila wanawake hupata nafuu kidogo anapomuona mwanaume mkarimu. Hii itampa hamasa na anajua hata kama humtaki utamjibu kistaarabu na hutamtangazia. Tukija kwenye mada, muddy hayo yanakutokea kutokana na the way unavyo behave. Wengi hupendwa na wanawake ila wachache hutamkiwa. Naomba niishie hapo kwa leo. Nisiwachoshe.
 
Mambo vipi wana Jf wenzangu?

Karibuni tujadili hii mada maan hadi sasa nachanganyikiwa kabisa sijui ndio napendwa au zuga tu! Ok turudi kwenye mada. Just imagine wakati nikiwa na mishemishe zangu ghafla kuna msichana wa mtaani na namfahamu pia ananiita nilipomsogelea tu bila ata ya kumug'unya mdomo ananiambia NAKUPENDA na mimi simply nikajibu "asante" ikumbukwe hapo sikuona sign ya mapenzi wala tabasam.

Msichana wa pili na yeye ni wa mtaani tu siku moja nlimshtukia ananiangalia sana na vile vitabasam vya mbaali ikabidi nimuulize kulikoni simply akanijibu NAKUPENDA TU! Msichana wa tatu yeye nimekutana nae chuoni yaani huyu yeye ata sijawai kuwa na story nae kabisa baada ya salam tu ya kawaida ila kuna siku nmepita karibu yake baada ya kumsalimia tu akasema "MIMI NAKUPENDA " nikamjibu tu "asante" na ikumbukwe sijaona tabasamu lolote hapo wala sijawahi ona zile sign kamfacial expresion Ma expert wa mas-ala ya saikolojia ya mapezi mnakaribishwa!

Ahsanteni muwe na asubuhi njema!

Vizuri ungeelewa kama kujaamiana ni tendo la hiari kama vile kwenda kaja kubwa na ndogo au
ni tendo la lazimapia si vibaya ukakagua via vyako vya uzazi.
kwa mfano mdomo umeumbwa,kwa ajili ya kula chakula na kuongea.
pia via vya uzazi vina kazi mbili ya kutoa uchafu pamoja na kujaamiana pia.
kwa upande wa punyeto tumia mafuta ya kujipaka ya mgando
 
Yaani we pumba kabisaaa.....

utaweza kutongoza kweli???

Hamna hautawezaaaaaaaa
 
salamu za kawaida tu hizo usijifariji mkuu hakuna jipya hapo mkuu...!!!!
 
Cha ajabu ni nini sasa?
Nyie ndo mnasababisha wasichana wasifunguke kuelezea hisia zao.
 
Wanawake huwapenda wanaume wenye sifa zifuatazo:-
1. Wenye pesa.
2. Wenye Uwezo Darasani/ Waliosoma sana.
3. Maarufu.
4. Handsome.
5. Watanashati
Jichunguze, sifa mojawapo tu hapo huwavutia mabinti. Ukiwa nazo zote basi unaweza usioe kabisa, maana watakupigania kama mpira wa Kona.
Ni hayo tu
 
ulikuwa unaota endelea kulala ukiamka kila kitu kitakuwa sawa. Hii mada yako inaonyesha hujakomaa,acheni kutuharibia jamvi,tunataka mada motomoto zenye ukomavu.
 
Wanawake huwapenda wanaume wenye sifa zifuatazo:-
1. Wenye pesa.
2. Wenye Uwezo Darasani/ Waliosoma sana.
3. Maarufu.
4. Handsome.
5. Watanashati
Jichunguze, sifa mojawapo tu hapo huwavutia mabinti. Ukiwa nazo zote basi unaweza usioe kabisa, maana watakupigania kama mpira wa Kona.
Ni hayo tu

Ni kweli kabisa.
 
Yaelekea unatakaga wakuanze il umalizie! au we ni mrangi? Soma kwanza then mke kasha andaliwa yupo kondoa.
 
Si kuwa mtu akisema anakupenda anamaanisha mapenzi wengine wanamaanisha anapenda jinsi ulivyo maybe appearance,smartness etc.Hujawahi sikia mtu anasema nampenda yule kaka/Dada halafu ukimuuliza kwanini anakujibu mstaarabu,mpole au basi tu nampenda
 
Back
Top Bottom