ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,378
Wanawake huwapenda wanaume wenye sifa zifuatazo:-
1. Wenye pesa.
2. Wenye Uwezo Darasani/ Waliosoma sana.
3. Maarufu.
4. Handsome.
5. Watanashati
Jichunguze, sifa mojawapo tu hapo huwavutia mabinti. Ukiwa nazo zote basi unaweza usioe kabisa, maana watakupigania kama mpira wa Kona.
Ni hayo tu
mkuu namba moja aliye bahiri hadi kwake mwenyewe hapendeki kwakweli hizo pesa utazisikiaga tu!,
wasongokaji wa darasani hao naweza sema atlist watawaburuta wasichana ambao kwao bora elimu na sio elimu bora!
Pia hizo no 3,4,5 huyu mtoa mada km anasifa hizo hao wamtongozao asiwaoe kwa maana ye ni kama show fashion tu.